NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
Huyo mwanamke atakua ana laana kubwa,ivi haoni kama huyo bwana anaejipendekeza kwake hana mpango nae? au huyo rafiki yako ana risk maisha yake kiyasi hicho? mpe salam mwambie ivi huyo mwanamke ndio atakua SUMU kwake zikitimia,na mwanamme mwenye akili zake timamu hawezi kufanya anavyo fanya huyo rafiki yako yeye ni mwanamme hajui ipo siku yatamkuta yalio mkuta mwenzie? na huyo mwanamke nae pia mpe salam zake mwambie wanaume ni wengi sanaaa ila ipo siku ataijua maana ya mwanamme suruali na mwanamme majukumu..