Recent content by mbagokizega

  1. M

    Zitto Kabwe: Takwimu za Pato la Taifa kwa robo iliyoishia Juni 2017 si sahihi, ZIMEPIKWA! (PDF attached)

    Naiomba serikali imshitaki zitto kupitia ile sheria ya takwimu yani akayhibitishe haya aliyoyasema mahakamani. Zitto hana lolote naishauri serikali isimuache imshitaki tena imuongezee na ile aliyosema kwamba jengo bweni udsm eti halijajengwa kwa thamani ya pesa aliyotaja mkuu ili tukamuumbue...
  2. M

    Zitto Kabwe: Takwimu za Pato la Taifa kwa robo iliyoishia Juni 2017 si sahihi, ZIMEPIKWA! (PDF attached)

    Alitoa fursa ya kuulizwa maswali wakarudia Mara mbilimbili hakukuwa na mwandishi mwenye swali kuhusu alichowasilisha.ungekuwa wewe ungeuliza swali gani kuhusu kilichowasilishwa?
  3. M

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Uongo ni sawa na mende ukimuona mmoja ujue kuna wengine Hayatomfaa mtu macho yake mazima ikiwa amepofuka fikra Maisha ni kile kinachokutatiza wakati unapangilia mipango yako. Rafiki ni ndugu uliyemtengeneza mwenyewe Haitokufaa kitu kuongeza sifuri ktk kila jambo lako lenye thamani ya kumi...
  4. M

    Dili: Natafuta watu 5 nishirikiane nao tuanzishe kampuni ya mchezo wa kubahatisha

    Umejihakikishiaje na ukisemacho au umeamua tu kuandika
  5. M

    Dili: Natafuta watu 5 nishirikiane nao tuanzishe kampuni ya mchezo wa kubahatisha

    Salaam wakuu. Nimevutiwa na taarifa niliyoisoma kwamba kampuni Fulani inayojihusisha na michezo ya kubahatisha imelipa bilioni mia mbili na milioni mia moja kama kodi kwa kile walichoingiza mwezi September. Hii inamaanisha wabongo wamechachamaa haswa ktk kucheza kamari manaake kama kodi tu ni...
  6. M

    Naiona Pemba yenye Wabunge wa CUF kupitia CHADEMA Zanzibar!

    Watakuwa chadema sio cuf mzee Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zenye mishahara mikubwa Afrika

    Wametuchongea.sijui kama kutatotokea lolote baada ya kuvumilia miaka 2 bila kuongezeka hata sumni wala kulipwa madeni yetu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Uteuzi wa Wabunge 8 wa Viti Maalim CUF umezingatia Katiba na Sheria

    Jambo moja ninaloweza kulisema kwa uchungu kabisa ni kwamba cuf ina katiba ya hovyo kabisa inayotoa mianya ya migongano na migogoro mana kila upande unatumia vifungu vya katiba yao hiyohiyo ktk kuhalalissha na kuharamisha maamuzi ya wenzao. Akh Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Jiji la Dar chini ya UKAWA latwaa tuzo ya dunia!

    Jiji la dar limepata tuzo sawa lkn tuzo hiyo haijatokana na mchango wa kuwa chini ya ukawa. Kama nakosea nielekezwe jinsi uongozi huu ulivyoshiriki kufanikisha mradi huo wa usafiri wa haraka
  10. M

    Tafadhali Deus Kibamba acha kumchafua Lowassa

    Zamu zamu bwanaa mbona wakati nyie mnamchafua yeye alinyamaza au nyie ndo wenye haki ya kumchafua mtu
  11. M

    SIO KWELI WANANIZUSHIA..NAOMBA MUWAPUUZE

    Nawasalimia. Kwa mlio tanga mtakuwa mmesikia habari inayovumishwa na mashilawadu wa mtaani kuhusu tukio lililotokea huko korogwe ktk kijiji cha mashewa mitaa ya kwa mzee shed......... Kuna wajinga wanazusha tena huku wakisambaza na picha ya tukio,nikiri kwamba picha ya tukio ni ya kweli lkn...
  12. M

    Msaada.kifaa kinachotumika kupima ubovu wa gari.

    Habari zenu wataalam. Nimetembelea jukwaa lenu nikiwa na imani nitapata majibu juu ya hiki nitamanicho kujua. Ni hivii mi ninamiliki gari ambalo linanisumbua sana na limefanya nigombane na mafundi wengi kwa tabia yao ya kutokuwa na uhakika kwamba ni kifaa kipi kilichoharibika matokeo yake...
  13. M

    Livingstone Lusinde amewataka CHADEMA Wamuadhibu Joshua Nassari

    Kama ni kweli ikithibitika mbunge ameingia na konyagi achukuliwe hatua
Back
Top Bottom