Recent content by Mbagala stendi

  1. Mbagala stendi

    Umuhimu wa hoja za Humphrey Polepole: Sauti ya uzalendo katika enzi ya kupoteza maadili ya kisiasa

    Kwasasa wananchi walio wengi wanapenda CCM isiingie madaraka endapo tutapata watu wenye ushawahi kuingia upinzani CCM hatoingia dolani
  2. Mbagala stendi

    TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Sio mashirika ni board chair wa MUHAS
  3. Mbagala stendi

    Msaada kwenye tuta

    achana nae
  4. Mbagala stendi

    A night in Tunduma, Pombe wanawake na ukimwi

    Napenda kuongeza point hapa, hali hii inawezekana kabisa kutokana na maendeleo ya tiba na ushauri sahihi wa kiafya. Kwa wanandoa ambao mmoja wao ameambukizwa VVU na mwingine hajaambukizwa (tunaita "serodiscordant couple"), kuna njia salama za kuhakikisha maambukizi hayapitwi kwa mwenza wala kwa...
  5. Mbagala stendi

    A night in Tunduma, Pombe wanawake na ukimwi

    Hapo tunarudi pale mwanzo what matter is virulence load, mwenye maambukizi ya juu strain atakayo isambaza itakuwa kali na mwenye maambukizi ya chini (mwenye matumizi mazuri ya dawa na mazingatio ya kiafya) strain atakayoisamba endapo viral load yake haijawa bado Undetected atasambasa Strain...
  6. Mbagala stendi

    A night in Tunduma, Pombe wanawake na ukimwi

    Hiyo ni kweli, ukiwa katika ARV therapy kwa wale waanga wa HIV, endapo utazingatia taratibu za kiafya kwa kunywa dawa kwa wakati kuzingatia lishe bora husaidia kupunguza uzito wa virus na kufanya kinga ya mwili kutokuwa compromised, na mwisho wa siku yul mweny positive ukija kupima utakuwa...
  7. Mbagala stendi

    A night in Tunduma, Pombe wanawake na ukimwi

    Rate ya maambukizi ya ugonjwa wowote yanatokana na virulence load ndani ya host, so kama mtu anatumia dawa vizuri virulence load ya mdudu ndani ya host upungua hata strains atakaokuwa akiusambaza kwa wengine makali yake upungua, mfano ukakutana na mwenza mwenye gonnorhea sugu utokan na kutoanza...
  8. Mbagala stendi

    Ikiwa mamlaka ya Rais yamepatikana kikatiba, katiba imepewa mamlaka na nani?

    Wananchi wanawapa dhaman wabunge kusimamia katiba ya nchi, mahakama inatunga sheria na kuilinda katiba ya nchi, raisi ndio kiongozi namba moja wa kuilinda iyo katika ya nchi chini ya Bunge, wabunge wapo legible kupinga katib na kuikosoa katiba endapo etakuwa ni kinyume na dhamana au nafasi...
  9. Mbagala stendi

    Ikiwa mamlaka ya Rais yamepatikana kikatiba, katiba imepewa mamlaka na nani?

    Sisi wenzako kipind tunasoma civics wewe ulikuwa unakariri vita vya majimaji, katiba inapewa mamlaka na Bunge.
  10. Mbagala stendi

    Sheria gani ya shule ambayo ilikuwa lazima uivunje

    Kunyoa nywele kichwani, kukaguana soksi miguuni, siku ya jtatu school parade, kugagua vessle la kulia nguna.
  11. Mbagala stendi

    Je, ugonjwa wa typhoid huenezwa kwa njia ya kujamiiana?

    Typhoid ni gastrointestinal....UTI ni urinary tract infections not STI sexually Transmitted disease..... UTI may cause STI pathogens invade easily.
  12. Mbagala stendi

    Kipi ni muhimu kwenye biashara

    Profit ni swala gumu sana na sio gross profit.
  13. Mbagala stendi

    Chuo kipi kinatoa shahada bora ya udaktari (MD) kati ya hivi?

    Vyuo vya kata hivyo🚮..... Soma point yangu ya kwanza tafiti ndizo zinazoibeba chuo.
Back
Top Bottom