Recent content by MB2C

  1. MB2C

    Siamini kama kweli benki ndio wameuza nyumba ya milioni 25 kwa milioni 3 kisa wanamdai mteja wao milioni 1 na laki 6. Au kuna utapeli ndani yake?

    Niwafahamishe kitu hapo. Kiutaratibu benki ana tolerance ya kisheria ya miezi 3 kutoka kwa mteja kutokulipa mkopo...baada ya kuona miezi 3 imepita tena consecutively izo miezi,badae wanaandika demand note kwenda kwa mteja ya mwezi mmoja kwamba kama kashindwa basi dhamana itafidia mkopo wake...
  2. MB2C

    RCs wanalipwa kiasi gani?

    RC analipwa mil. 6, kwa msharaha wake lakini ikitokea huyo RC kateuliwa kutoka kwenye kazi nyingine iliyokuwa na mshara zaidi ya mil. 6 basi atahama na mshahara wake, mfano hao wanajeshi au wengine walikuwa watumishi wa CCM makao makuu au wengine walikuwa wizarani etc. Na pia nyumba atapewa...
  3. MB2C

    Wajumbe wa Halmashauri Kuu CCM Mkoa wa Ruvuma wakubaliana Rais Magufuli aendelee kuongoza miaka 20 mbele

    Pascal naweza kukubaliana na ww kile unacho jaribu kuwaza juu ya JPM na ni kizuri kabsaa ndio maana umeunga mkono hoja...lakin umesahau kuwa huwezi kujua usiku kama hujawai ona mchana! Tafsiri yake ni kwamba huwezi uona uzuri wa JPM bila kuona utawala wa watangulizi wake. Na mtu hujifunza...
  4. MB2C

    Heri ukutane na Magufuli kuliko Majaliwa...

    Yeah...naunga mkono hoja! Majaliwa anakuondoa kwenye reli na sababu unazijua live maana atakuulza maswal magumu ambayo huna majibu nayo na ili hali ulikuwa mtendaji wake, pia ushirika huko mikoani karudisha heshima hawana hamu naye!
  5. MB2C

    Taarifa Muhimu Kutoka CCM

    Aiseee....kwahiyo hiyo ndio habari kubwa issue za chama? Na unategemea kuna jipya hapo zaidi ya kumsifia mwenyekiti kutekeleza ilani?
  6. MB2C

    Hivi Lucky Dube hakuacha watoto wakubwa?

    Ahahahha...ivi Mina cute unakula jani mama maana kusikiliza izo nyimbo zahitaji akili za ziada ujue
  7. MB2C

    Dar kumejaa wanawake wazuri sana

    Njoo PM mama nikusifie aisee i like that confidence
  8. MB2C

    Nielewesheni: Rais kaingilia Mahakama ama ndio utaratibu wa sheria mpya?

    Kuna vitu ambavyo kwa hakika vinahitaji marekebisho hasa kwenye katiba yetu! Na pale ikitokea kiongozi wa juu kama rais akatumia yale ya katiba hii tuliyonayo ndipo udikteta hutokea! Kwa kauli ya rais siku ile anasema anashaur ofisi ya DPP wengine tulijua huo sio ushauri bali ni "order" kwanini...
Back
Top Bottom