ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,271
- 15,310
Utafute wakili sasahivi ilhali umeshindwa kulipa 1.6M in 3 months?
Nyumba haiuzwi kama nyanya sokoni. hapo kaibiwa mahakama ndo itamsaidia. kama wameitwa mara 3 hawajaja mahakamank basi yeye asubuhi maamuzi ya mahakama pia in the meantime ajitahidi amuone Lukuvi atamsaidia . Vijana wa bank anatoka shule ndani ya miezi kadhaa anataka avae moka nzuri aendeshe prado lazima awe tapeli wa kudalalia nyumba za watuKuna vitu fulani katika maisha vikikukuta utajiuliza hivi hi ni ndoto au live. Jamaa alikopa million 3 na laki 5 Access Bank akaweka dhamana mjengo wake wenye thamani ya million 25. Akalipa lipa ilipobaki kama nusu ya mkopo mkewe akamuibia pesa zote za biashara hivyo akashindwa kufanya marejesho yaliyobaki.
Jamaa wa bank wakamuita wakamwambia tunacancel mkopo tunakupa miezi 3 utuletee pesa yetu million 1 na laki 6.
Miezi 3 ikapita jamaa akashindwa kulipa kuna siku akatoka kidogo mida ya jioni aliporudi akakuta nyumba yake ipo tupu.
Akaenda kwa Mjumbe kuripoti Mjumbe akamwambia alipewa amri na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa kusimamia watu watoe vyombo ndani na kuvipeleka kwa Mwenyekiti wa Mtaa kwa madai kwamba nyumba imeshauzwa. Jamaa aliposema mimi hayo siyajui na kuingia ndani kwake alikuja mwenyekiti wa mtaa na watu wake wakamtia pingu na kumuita mvamizi
Jamaa akaenda mahakamani, bank na hao madalali hawakutokea mahakamani mara zote 3. Sasa mimi ndio najiuliza hivi ni kweli Access Bank wameuza au kuna matapeli wametake advantage?
Kuna watu wanachulia mkopo kama zawadi. Hayo ndo madhara yakeKuna vitu fulani katika maisha vikikukuta utajiuliza hivi hi ni ndoto au live. Jamaa alikopa million 3 na laki 5 Access Bank akaweka dhamana mjengo wake wenye thamani ya million 25. Akalipa lipa ilipobaki kama nusu ya mkopo mkewe akamuibia pesa zote za biashara hivyo akashindwa kufanya marejesho yaliyobaki.
Jamaa wa bank wakamuita wakamwambia tunacancel mkopo tunakupa miezi 3 utuletee pesa yetu million 1 na laki 6.
Miezi 3 ikapita jamaa akashindwa kulipa kuna siku akatoka kidogo mida ya jioni aliporudi akakuta nyumba yake ipo tupu.
Akaenda kwa Mjumbe kuripoti Mjumbe akamwambia alipewa amri na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa kusimamia watu watoe vyombo ndani na kuvipeleka kwa Mwenyekiti wa Mtaa kwa madai kwamba nyumba imeshauzwa. Jamaa aliposema mimi hayo siyajui na kuingia ndani kwake alikuja mwenyekiti wa mtaa na watu wake wakamtia pingu na kumuita mvamizi
Jamaa akaenda mahakamani, bank na hao madalali hawakutokea mahakamani mara zote 3. Sasa mimi ndio najiuliza hivi ni kweli Access Bank wameuza au kuna matapeli wametake advantage?
Kwanini hukumsaidia ndugu yako kwenye hzo siku 60Siku 60 bank walimpa kuwa awapele pesa yao hiyo 1.6 nahisi hiyo ndio notisi
Lakini hayo mengine hayakufanyika zaidi ya kuja watu kuvunja mlango na kusomba vitu vyake vya dukani pamoja na vya ndani na kuvipeleka kwa mwenyekiti na kutia kofuli zao
Jama alipovunja ili apate kulala akaja mwenyekiti akamtia pingu na akamwambia wewe ni mvamizi umevamia nyumba ya mtu aliye inunua kwa shs million 3
Mkuu hebu funguka aisee, inaonekana habari hii unaifahamu vyema. Wewe ndio Mwenyekiti wa jamaa aliyeshindwa kulipa hilo deni au Mwakilishi wa ACCESS BANK?Acha kutetea uongo broo, Hakuna kitu Kama hicho, huyo Rafiki yako kuna mambo kakudanganya kakuficha muulize vizuri Hakuna bank yenye utaratibu huo, Hakuna bank inayoweza kufanya mchezo huo, huo ni wizi muulize vizur atafunguka kilichotokea ni hatua zipi zilifuatwa had ikafikia huko, na Kama kweli ndio mwenye nyumba katokaje kwenye Nyumba yake aliyojenga atoke tu kisa imeuzwa pasipo yeye kuwa na taaarifa? Acheni uongo wenu, usikurupuke kuleta taarifa za uongo huku huyo anajua kila kitu kila hatua anaijua iliyofuatwa ila anakuficha kwa kutaka msaada wa kimaisha, hata ungekuwa wewe ungeondoka kwenye Nyumba? Hiyo Nyumba haina majirani? Wa kuweza kuingilia Kati? Na je anadaiwa milioni mbili sasa unataka kusema kuwa Nyumba ya 30m imeuzwa 2m? Acha zako za kukurupuka
Yawezekana ni kweli anayo hayo unayo yasema lakini je ! Ndio afanyiwe utapeli wa nyumba yake na kuharibiwa vitu vyake na taasisi kibwa kama Access BankKumbuka unaongea na watu wazima humu mkuu,sawa ila kwa haraka haraka jamaa yako hana mausiano mazuri kwa hawa wafuatao.
I) Benki iliyomkopesha.
ii) Mke wake
iii) Serikali ya mtaa
iv) Majirani
v) Ndugu zake
vi) Rafiki zake (ukiwemo wewe).
Kwa Siku hizo alizopewa kwenye notisi kama angelikuwa na mahisiano mazuri na angalau makundi manne kati ya hayo sita kwa Hakika hayo majanga yasingemkuta.
Kuna vitu fulani katika maisha vikikukuta utajiuliza hivi hi ni ndoto au live. Jamaa alikopa million 3 na laki 5 Access Bank akaweka dhamana mjengo wake wenye thamani ya million 25. Akalipa lipa ilipobaki kama nusu ya mkopo mkewe akamuibia pesa zote za biashara hivyo akashindwa kufanya marejesho yaliyobaki.
Jamaa wa bank wakamuita wakamwambia tunacancel mkopo tunakupa miezi 3 utuletee pesa yetu million 1 na laki 6.
Miezi 3 ikapita jamaa akashindwa kulipa kuna siku akatoka kidogo mida ya jioni aliporudi akakuta nyumba yake ipo tupu.
Akaenda kwa Mjumbe kuripoti Mjumbe akamwambia alipewa amri na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa kusimamia watu watoe vyombo ndani na kuvipeleka kwa Mwenyekiti wa Mtaa kwa madai kwamba nyumba imeshauzwa. Jamaa aliposema mimi hayo siyajui na kuingia ndani kwake alikuja mwenyekiti wa mtaa na watu wake wakamtia pingu na kumuita mvamizi
Jamaa akaenda mahakamani, bank na hao madalali hawakutokea mahakamani mara zote 3. Sasa mimi ndio najiuliza hivi ni kweli Access Bank wameuza au kuna matapeli wametake advantage?
Hizo Pingu mkiti katoa wapi? Au mkiti ni afande?Siku 60 bank walimpa kuwa awapele pesa yao hiyo 1.6 nahisi hiyo ndio notisi
Lakini hayo mengine hayakufanyika zaidi ya kuja watu kuvunja mlango na kusomba vitu vyake vya dukani pamoja na vya ndani na kuvipeleka kwa mwenyekiti na kutia kofuli zao
Jama alipovunja ili apate kulala akaja mwenyekiti akamtia pingu na akamwambia wewe ni mvamizi umevamia nyumba ya mtu aliye inunua kwa shs million 3
Kuna vitu fulani katika maisha vikikukuta utajiuliza hivi hi ni ndoto au live. Jamaa alikopa million 3 na laki 5 Access Bank akaweka dhamana mjengo wake wenye thamani ya million 25. Akalipa lipa ilipobaki kama nusu ya mkopo mkewe akamuibia pesa zote za biashara hivyo akashindwa kufanya marejesho yaliyobaki.
Jamaa wa bank wakamuita wakamwambia tunacancel mkopo tunakupa miezi 3 utuletee pesa yetu million 1 na laki 6.
Miezi 3 ikapita jamaa akashindwa kulipa kuna siku akatoka kidogo mida ya jioni aliporudi akakuta nyumba yake ipo tupu.
Akaenda kwa Mjumbe kuripoti Mjumbe akamwambia alipewa amri na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa kusimamia watu watoe vyombo ndani na kuvipeleka kwa Mwenyekiti wa Mtaa kwa madai kwamba nyumba imeshauzwa. Jamaa aliposema mimi hayo siyajui na kuingia ndani kwake alikuja mwenyekiti wa mtaa na watu wake wakamtia pingu na kumuita mvamizi
Jamaa akaenda mahakamani, bank na hao madalali hawakutokea mahakamani mara zote 3. Sasa mimi ndio najiuliza hivi ni kweli Access Bank wameuza au kuna matapeli wametake advantage?
bank is a legel person, utaiuaje?Inavyoonekana hiyo bank ni majambazi akikosa sheria aanze na huyo mwenyekiti ampeleke kaburin ili liwe fundisho kwa wenyeviti wengine,PANGA LA KICHWA MWAMBIE ASIKOSEE AKAPIKA KWENGINE KWANZA AKALINOE MAENEO YA MBALI.
Hakyamungu nakuambiaMaisha haya unaweza kupitia matatizo mpaka ukajihisi we ni mkosaji kuliko mtu yeyote hapa ulimwenguni
Mi nafikiri ishu hapo ni tahadhari aliepewa na bank hakuifatilia.Kuna vitu fulani katika maisha vikikukuta utajiuliza hivi hi ni ndoto au live. Jamaa alikopa million 3 na laki 5 Access Bank akaweka dhamana mjengo wake wenye thamani ya million 25. Akalipa lipa ilipobaki kama nusu ya mkopo mkewe akamuibia pesa zote za biashara hivyo akashindwa kufanya marejesho yaliyobaki.
Jamaa wa bank wakamuita wakamwambia tunacancel mkopo tunakupa miezi 3 utuletee pesa yetu million 1 na laki 6.
Miezi 3 ikapita jamaa akashindwa kulipa kuna siku akatoka kidogo mida ya jioni aliporudi akakuta nyumba yake ipo tupu.
Akaenda kwa Mjumbe kuripoti Mjumbe akamwambia alipewa amri na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa kusimamia watu watoe vyombo ndani na kuvipeleka kwa Mwenyekiti wa Mtaa kwa madai kwamba nyumba imeshauzwa. Jamaa aliposema mimi hayo siyajui na kuingia ndani kwake alikuja mwenyekiti wa mtaa na watu wake wakamtia pingu na kumuita mvamizi
Jamaa akaenda mahakamani, bank na hao madalali hawakutokea mahakamani mara zote 3. Sasa mimi ndio najiuliza hivi ni kweli Access Bank wameuza au kuna matapeli wametake advantage?