Recent content by mb man

  1. M

    Electronic money system(Mobile money system) ni mfumo wa kishetani

    Sasa tulipo fikia hatujui tumwamin nani
  2. M

    Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

    Kulipa kodi ni uzalendo
  3. M

    Wafaham wasanii wanaojutia kujiunga kwenye kampeni Za ccm mwaka 2015

    Pumba tupu mbona umedili na mmoja tu? Ngoja nikumbushe mkuu anae juta zaidi ni Wema maana alikata mauno ili biashara zake zisonge sasa magu kageuza mchezo
  4. M

    Ushauri kwa wana JF kuhusu suala la mapenzi bila kinga

    We chapa mzigo, nasema chapa mzigo kavu kavu mpaka kieleweke
  5. M

    AJALI ARUSHA: Watano wafariki dunia baada ya kuangukiwa na mti wakiwa ndani ya nyumba

    Yani huyu mbunge wetu anavyo penda matukio mpaka anaboa kweli mkuu akaongee na huko maana hajuagi hata kujenga hoja zake binafsi ni kiki 2
  6. M

    Tetesi: Ajali Lucky Vincent School: Uzembe, Tamaa, Ubadhirifu na Kutokujali Usalama wa Wanafunzi

    Ni ukweli usio pingika hawa jamaa wa mashule wanatumia magari mabovu sana, niwakati umefika serikali kuliangalia kwa umakini mkubwa hili swala
  7. M

    Wahariri leo mmeonyesha uzalendo wa hali ya juu sana

    Jf wapumbavu wako wengi kuliko waelewa ndio ninacho jifunza humu, hivi huu uzi unatufundisha nn?!!!! Pumbavu zake mleta mada
  8. M

    viongozi wa dini mmesahau kukemea haya, mumemwachia Gwajima pekee

    Gwajima hakemei mabaya kwa maslahi mapana ya nchi yake na ndio maana hamna alilowahi kusema kabla ya mtu kumtaja kwa namna moja au nyingine, ndio ataanza kutupatia mazaifu yake, me naona jamaa mpiga dili tu,
  9. M

    Utata: Uvamizi wa clouds FM

    RC ungejua kabla usinge wagusa wala unga na wauzaji maana wanavokuchukia mpaka inaogopesha
  10. M

    Madawa ya Kulevya: Waziri wa Katiba na Sheria aomba Shikuba akashtakiwe Marekani!

    Bora iwe mbele mbele hapa bongo itageuzwa juu chini
  11. M

    Trump launches military strike against Syria

    Us wakimpiga bashari hiyo nchi haitatulia tena, coz us anachokifanya analisaidia kundi flani linachukua nchi na wao wanachukua chakwao wanaondoka bila ya kukaa na kuwaweka watu pamoja ili wao wakiondoka amani iwe imepatikana ya kudumu,
  12. M

    Kwa hili la Halima Mdee kumtusi Spika, tunakoelekea ni kubaya zaidi

    Bila bangi madawa mirungi na viroba kuzuiwa sizani kama matusi yataisha, Makonda okoa Tanzania
Back
Top Bottom