Pumba tupu mbona umedili na mmoja tu? Ngoja nikumbushe mkuu anae juta zaidi ni Wema maana alikata mauno ili biashara zake zisonge sasa magu kageuza mchezo
Gwajima hakemei mabaya kwa maslahi mapana ya nchi yake na ndio maana hamna alilowahi kusema kabla ya mtu kumtaja kwa namna moja au nyingine, ndio ataanza kutupatia mazaifu yake, me naona jamaa mpiga dili tu,
Us wakimpiga bashari hiyo nchi haitatulia tena, coz us anachokifanya analisaidia kundi flani linachukua nchi na wao wanachukua chakwao wanaondoka bila ya kukaa na kuwaweka watu pamoja ili wao wakiondoka amani iwe imepatikana ya kudumu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.