Mkuu umeongelea kuhusu ongezeko la vitendo hivyo nataka kujua kwa asilimia ngapi? Au ulitumia viashiria vipi kujua kuna ongezeko la vitendo hivyo? Na kama mtu anaweza akakuambukiza gono mdomoni basi anaweza akakuambukiza kwa sex so kiufupi waambie waache uzinzi na ngono zembe watakufa
Wapo watu wengi ambao wanapitia mambo magumu,kitu cha msingi ni kua umekubaliana na hali basi usikate tamaa,kama mtoto ni chini ya miaka 5 fanya uwezavyo apate bima ya afya,alafu kwa kile kidogo unachopata toa kidogo wekeza kupata mtaji kiasi kumpa mkeo azungushe usisubir iwe nyingi hata kiasi...
Mzee system ya elimu yetu ndio upuuzi maana hata waamuzi wa mambo makubwa kwa nchi yetu wengi wao hawajaenda shule,Elimu inawapa wengi uwezo wa kubadirisha mboga tu wengi wao wanastress za madeni na msururu wa majukumu acha watoto watengenezee njia ya kupiga pesa za kodi ya watanzania
Kuna mifano mizuri na mifano mibaya kwenye jamii na yote ipo ili waja wajifunze,ni mtu kuamua ni aina gani ya mfano kwenye jamii anataka kuwa..NB:Mifano yote ni muhimu kwa ustawi wa jamii kwa hiyo acha waishi walivyochagua na wewe ishi ulivyochagua
Maisha kamari bro,kuna waliokuja wakatelekezwa Wakapambana wakatoboa,kama upo kigulunyembe na maisha hayaendi pambana uende wewe,watu wanazamia mbele huko hata lugha hawaijui itakua hapa dar?High risk high return cha muhimu usitake kuishi maisha ya insta,wala usichague kazi na usisahau njia ya...
Kwenye biashara kuna mambo mengi mzee,na pia sio kila mtu anajua basics za biashara hasa upande wa mapato na matumizi ndio maana kuna watu huwa wanafanya biashara maisha yao yote na hakuna kitu wanapata,pia wapo ambao kusimama kwa biashara zao hugarimu muda mrefu na pesa za ziada nje ya...
Wote mna makosa,kosa lako wewe ni kumuamini sana mpaka mmezaa mtoto bila kupima,ina maana hata clinic wakati wa ujauzito ulikua unamkimbia anaenda pekeake(hii ni kawaida kwa wanaume wenye wasiwasi na afya zao hutelekeza wake zao waende clinic wenyewe kukwepa kupima vvu),kosa lake yeye ni...
Inategemeana na aina ya pombe unazokunywa,kama ni bia anza kupunguza idadi ya chupa unazokunywa taratibu kama huwa unakunywa 10 anza na 9 au 8 then punguza safari za bar unaeza nywea hata home sometimes,punguza marafiki ambao muda mwingi mkiwa pamoja mnaongelea pombe,tafuta vitu vingine vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.