Mkuu pole nitafute mimi kwa wakati wa ko nikupe dawa ya kuacha kunywa pombe utaacha utake usitake.Hello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Inategemeana na aina ya pombe unazokunywa,kama ni bia anza kupunguza idadi ya chupa unazokunywa taratibu kama huwa unakunywa 10 anza na 9 au 8 then punguza safari za bar unaeza nywea hata home sometimes,punguza marafiki ambao muda mwingi mkiwa pamoja mnaongelea pombe,tafuta vitu vingine vya kufanya kujinyima muda wa kuwa free,jiweke karibu zaidi na familiaHello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Najua pombe hunywi peke yako hata kampani itabidi ubadili. Sio kazi rahisi. Tabia nyingi tulizo nazo ziko influenced na kampani zetuHello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Tatzo mnafakamia kama chakulaPombe ni moja kati ya vitu vinavyozidi kunirudisha nyuma.
Ukipata mbinu usisite kunishtua mkuu
Ulevi hata wa soft drinks upoAchana na kampani ya marafiki walevi
Hata kama mwaka bado kunywa kutajirudiaNina week ya 3 sasa
Mkuu njoo hapa micasa bar riverside tujadili.Hello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...