Recent content by mazigeseif

  1. mazigeseif

    Kama Tanzania itaishinda corona kutokana na msimamo wake, Rais Magufuli atakuwa kivutio cha watalii kama mfalme Suleiman

    Katika jambo kubwa alilolifanya Rais wetu ni kutuondoa kuwa na hofu, kama mtakumbuka wakati ugonjwa umeingia watu walitaharuki lakini kwa uwezo aliokuwa nao akarudisha imani kwa wananchi kwa kusisitiza watu wazingatie maelekezo ya wataalam. Na alisisitiza huu ugonjwa na ugonjwa kama yalivyo...
  2. mazigeseif

    Kuelekea ng'ambo ya pili: Dereva amekiri kukata tamaa, akina nani bado wana hamu ya safari?

    Wewe kama umezoea kula vya kunyonga sasa fahamu kipindi hiki ni kula vya kuchinja tu, watu tubadirike, tufanye kazi kwa bidìi, njia zote za mkato na zisizo za halali tuziache!!!
  3. mazigeseif

    Ujumbe: Hakuna aijuaye Kesho...!

    Usiangalie yeye alifanya nini kipindi hicho, wewe angalia nini anafanya sasa nini kwa sasa hususani katika maendeleo ya Taifa.
  4. mazigeseif

    Awezaye kutabiri aniambie miaka 10 ya Mhe magufuli Tanzania itakuwa wapi??

    Umeuliza swali zuri sana kwa mustakabali wa Tanzania, binafsi ninaamini wa Tanzania watafahamu vizuri thamani ya maisha kwa sababu maisha ya mkatomkato yatakuwa hakuna, watu watafanya kazi kwa bidìi, kila mtu atathamkini kipato chake kulingana na uwezo wake wa kufanya kazi, rushwa itapungua sana!!!!
  5. mazigeseif

    Mjadala: Basi kubwa na pikipiki vikitembea vyote kwa 120km/hr nani atatangulia?

    Wote au vyote vitafika kwa pamoja au sambamba, hili halina tofauti na kilo moja ya pamba na kilo moja ya mawe ipi ni nzito!!!?
  6. mazigeseif

    MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

    Hali ya uchumi ni nzuri tu, watu wasibweteke, wafanye kazi za halali na kwa bidìi, maisha yatakuwa ni mazuri tu kwa kutekeleza haya niliyoyasema!!!
  7. mazigeseif

    MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

    Acha matusi, ulikwisha wahi kufika Mwanza au unaisikia tu!!!?
  8. mazigeseif

    Haniulizi kwa lolote

    Sifa kubwa nafikiri kuliko zote kwa mwanamke ni awe ni mwenye kudeka, deko ndilo uleta yote uyajuayo katika mahusiano ya kimapenzi, kwa ujumla huyu uliyenaye ajakidhi kiwango cha kuwa mke wa mtu!!! Fuatilia kwa undani utanipa jibu!!!
  9. mazigeseif

    Mzee Kungubaya ametutoka

    R.I.P
  10. mazigeseif

    Nyanja pekee inayompatia Urusi nguvu ni kwenye ICBM

    Kirefu chake ni (INTER-CONTINENTS BALLISTIC MISSILES )
  11. mazigeseif

    Mrejesho: Hivi Mungu aliweka nini kwenye ubongo wa mwanamke?

    Kama ulikwa hujui, leo fahamu hakuna pigo kubwa nafikiri linakaribia kushinda yote, kama mwanamke (mkeo) akikukosea harafu usimuulize wala usimuadhibu kwa kumpiga au kumfokea basi hapo utakuwa umemtesa vya kutosha na hiyo njia kwa ujumla unaweza kusababisha mauaji, usithubutu kuitumia njia hii...
  12. mazigeseif

    Degree ya Fine Arts ya UDSM inaweza kubuni art level za Diamond Platnums?

    Nyote tambueni chuo kikuu ni jumla ya mambo yote ambayo mwanadamu anajifunza kuitambua Dunia na ambavyo viko nje ya Dunia, hivyo basi kusoma chuo kikuu si lazima mazao yake uyaone mojakwamoja, kwa hiyo msiwalaumu ambao wamemaliza katika fani fulani na usiyaone anayoyafanya hapo kwa hapo...
  13. mazigeseif

    Wanajeshi hawa kweli ndo hivi?

    Wanajeshi siku zote ni waaminifu kwenye jamii wanayoishi nayo!!!
  14. mazigeseif

    Membe na Lowassa nani kaumia zaidi?

    Lowasa ndiyo kaumia sana!!!
Back
Top Bottom