Recent content by Mazezele

  1. Mazezele

    Taasisi za dini mko kimya

    Nawaza kwa kulia, mbona jumuia za kidini mpo kimya, nini kilicho wasibu, HAKUNA waraka wowote juu ya mihemuko hii iliyopanda kichwani mwa watanzania, Nani atuongoze kukemea haya, tumekuwa Kama Wana wa Israel kwenye mlima wa Babel, hatuelewani kabisa, sio wanaaiasa, wanahabari, wananchi, wote...
  2. Mazezele

    Nakwenda India Kesho, Kinana yuko Hospitali Gani Nikamsabahi?

    Hiyo kazi MWACHIE HAMORAPA
  3. Mazezele

    Ugomvi ndani ya nyumba unaweza kufanya ujinyonge?

    Ni pale ambapo ndani ya siku mbili nimeshuhudia wanaume wawili wakijinyonga, WA KWANZA mfanya biashara na wa pili Mwl, hawa wote inasadikika ni kitokuwepo kwa uelewano na wake zao. Sasa swali ni kweli kwamba wanaume tumeshindwa kumudu changamoto za Maisha hasa pale panapotokea ugomvi wa mke na...
  4. Mazezele

    ITV wamkaushia Makonda, naye asubuhi aliwakaushia

    Wakafie MBELE huko, waache lkn wajue staling hauawi
  5. Mazezele

    Umewahi kuswekwa lockup(selo), Unakumbuka nini?

    Kuna Joto la kufa mtu, hasa Kwa lockup za Ntwara
  6. Mazezele

    Waraka maalum wa kujivua Uanachama ndani ya CCM

    Aliyekuroga hajafa utalekeweka na adhima yako
  7. Mazezele

    Picha: NYATI Wanakufa kwa Njaa na Kiu,Maombi muhimu!

    Na huku Rais apeleke chakula???
  8. Mazezele

    Mbunge Godbless Lema apandishwa kizimbani Mahakama Kuu Arusha, anyimwa dhamana

    We nzie wanakwea Bombadia yeye kashikilia nonndo gerezani
  9. Mazezele

    Rais Magufuli ampongeza Mshindi wa Urais Marekani, Donald Trump

    Bainisha matakosa na utueleze ilitakiwa iweje
  10. Mazezele

    Mbunge Lema apandishwa kizimbani, afunguliwa kesi 2 za jinai. Anyimwa dhamana

    Ngoja wamnyooshe, nchi ya mwenyewe hataki mchezo mchezo
  11. Mazezele

    Mhe. Rais, kuzuia Fao la Kujitoa madhara yake ni zaidi ya tetemeko!

    Nipeni majina ya KIHAYA nimchagulie First Born wangu wa KIUME
Back
Top Bottom