GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Serikali haina mamlaka ya kuingilia vyombo vya habari, ndio maana ule mswada wa sheria hatuutaki, kama jk na familia yake wana matatizo na hilo gazeti walifungulie mashitaka mahakamani, sio serikali kujiingiza katika shughuli za waandishi wa habari na kuwafumba midomo.
Hapa naona serikali inajaribu kuwa kingia vifua vingozi kulinda maslahi yao katika hii nchi
Hapa naona serikali inajaribu kuwa kingia vifua vingozi kulinda maslahi yao katika hii nchi