Zitto: Rais hana haki kuhalalisha nyimbo ya msanii yeyote kuchezwa au kutochezwa

Mhm Zitto tutaanza kukuchoka sasa sio kila jambo unapaswa kuzungumza kwani raisi naye sio binadamu kusema kwamba awezi zungumza hisia zake... Alafu naomba niseme umesikiliza vizuri mwakyembe alivosema......
Umemchoka wewe na nani,wee gamba?
 
kama tulivyosema sisi kina gogo la shamba kwamba,miaka hii mitano itaisha kwa kuona na kusikia mambo mengi ya ajabu hasa kutoka kwa watu tuliokuwa tunawategemea kutuletea maendeleo. na bado tutasikia ya ajabu zaidi ya hayo
 
mwengeso: Kama huelewi kitu bora unyamaze kuliko kujidhalilisha namna hii. Ukiambiwa utwambie kosa la Ney ni mahakama gani imemkuta nalo utasemaje? Rais hutoa msamaha kwa aliyepatikana na kosa. Hivi hiki chama chetu mbona kina wafuasi mbumbumbu hivi?
Historia ya udikteta huanza kwa style hii ya kuwafunga watu mdomo kiasi kwamba mtu akiwa hana hoja yenye mashiko anaogopa kuzungumza kumbe hata kama hoja haina mashiko inaweza ikapewa ujazo na wenye weledi
 
Alafu mbona taarifa iko clear rais katoa maoni tu. Yani mnahaha hedeeeeeee upinzani umeshikwa pabaya mwaka huu!
 
Rais hakutoa order...ndo maana Mwakyembe amewaomba BASATA...it wasnt an order....huu upinzani tiamaji tiamaji unasikitisha sana
Rais akishalisemea hilo jambo, kashaingilia uhuru wa vyombo kufanya kazi zake.

Sasa Tanzania rais akisema Ney aachiwe na wimbo upigwe unategemea Polisi na BASATA watakuwa na uhuru wa kumpinga?
 
Likitokea jambo limefanywa na Rais lenye maslai kwa upinzani kupatia points lazima watafute pa kupinga tu.
Nilishawahi kuandika humu thread inasema"KABWE IS FALLING FROM ZITTO TO ZERO" ,cha ajabu mods wakanifanyia fitna wanaifuta, lakini ukweli ni kuwa zitto anapwaya sana nowdays. Anapoteza ubora wake aliokuwa nao siku za nyuma na sababu ni unafiki wake.
 
Zitto zamani akisema nchi inasimama kumsikiliza....akishusha nondo za ukweli hadi huku vijijini tunawabatiza jina la Zitto vijana wenye hoja nzito kwenye mkutano wa kijiji.
Sasa naona kaambukizwa siasa na matamko ya hovyo ya akina Lema na Mbowe! Twaaaaaafa!
Education Education
 
Nilishawahi kuandika humu thread inasema"KABWE IS FALLING FROM ZITTO TO ZERO" ,cha ajabu mods wakanifanyia fitna wanaifuta, lakini ukweli ni kuwa zitto anapwaya sana nowdays. Anapoteza ubora wake aliokuwa nao siku za nyuma na sababu ni unafiki wake.
You should know that Zitto had all along consistently enjoyed regular funding from NSSF Tsar, therefore had spare time to brows, review or read extensively. As of now, and with multiple family obligations, Zotto may no longer has time to review various documents, which previously constituted his resourceful stock.
 
..rais anaingilia hadi nyimbo za wanamuziki!!....wapi na wapi!!....ndio mana watendaji wake wanashindwa kufanya maamuzi...maana yeye amezoea kuwaingilia....ndio maana mambo hayaendi huko serikalini....huko utumishi ajira na kupanda madaraja na hata stahiki za watumishi wa umma zimesimama kwasababu ya tamko lake.....sasa huyu raia anajenga anabomoa??.....kwa matamko yake haya ndipo watu watazidi kuona tulivyojikwaa kama taifa 2015...kuwa na huyu mtu kama rais....tutakomaaa!...ndipo tuamke....
 
Kuna watu kwenye hili jukwaa mpo kimya sana...Kama mnafikiri mna freedom ya kukaa kimya, Be careful, nasema watch it, not to that extent.
 
Hivi haka kazito siku hizi kamekuaje?
Kanadandia kila kauli ya raisi,hakana hoja ya msingi
 
watu wa mwandiga wanabahati kumpata zitto
Zitto ni mbumbumbu wa katiba ya nchi yetu na sheria zake.BASATA ni taasisi ya nani na iko chini ya nani? Kasome ibara ya 35 ya katiba ya nchi yetu.
Zitto fanya tafiti ya kile unachokiandika kabla ya kuandika. Kila unachoandika kinakuwa na lacuna/gaps kibao. Usikurupuke.
 
Rais huu noma,anawaelekeza hadi wasanii nin waandike nin nin wasiendike......wakae ndani au waskae.....yuko vzr....
 
Back
Top Bottom