Hapa nadhani unataka kupata namna utakavyo punguza uwezekano wa kupata maambukizo right? Nitakupa mambo kadhaa kutokana na tafiti zilizopita:
1. Hakikisha umetahiriwa - tohara inapunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya VVU by 60% kwa mwanamume
2. Mshawishi mpime maambukizi ya magonjwa mawili...
Hello! I am conducting a systematic review of some health interventions. My search strategy gives me thousands of publications and would want to gather and de-duplicate. I know there are several programs for this process including Covidence and EPPI-Reviewer, however, getting a free version or...
Huu ni mtazamo mkuu! na inawezekana ulipata gari ikiwa tayali inamatatizo. Mimi nina Passo kwasasa mbali na nyingine ninazotumia, na nimekuwa nikienda karibu mara mbili kila mwezi Mwanza - Dodoma bila kuhisi hiyo shida ya kuchemsha.
Unaweza kuangalia yafuatayo:
1. Hakikisha rejeta yako...
Ninachojua Tanzania kila mtu anapaswa kuwa na passport! bado haijulikani ni muongozo toka wapi walionao watumishi wa uhamiaji wanaotaka mpaka uwe na sababu ya kumiliki passport ya nchi yako. Tabia hii ndiyo inayofanya watu wengi kuhusisha idara hii na rushwa maana mambo hayawekwi wazi kila mtu...
Usijali, mala nyingi unamjulisha mtu anayefaa ili asije chukua kazi nyingine kabla yako - ninyi job seekers mnatega mitego mingi sana.
Be happy, usilalamike
This is a self-brought blessing! I would then commend for the Tanzanian government to strategically encourage the two partners to urgently start working on this dream.
Tukio alilofanya president haikuwa kuuza magazeti, ila ni ujumbe mzito kwenu mnaojifanya miungu watu mpatapo au ndugu zenu wanapopata nafasi serikalini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.