Tulioko Dodoma kuanzia jana tunashuhudia BOMOA BOMOA ya majengo eneo linalomilikiwa na reli
Bar ya Capetown
Kituo cha mabasi
Sheli ya total
Stendi ya mkoa
Nk
Jengo siyo LA umma,tanesco ni mpangaji
Cha msingi ni kusema bora uandamane tanesco wapate jengo lao ili wasiendelee kutumia fedha ya umma Kwa ajili ya kulipa pango kwenye jengo ambalo siyo LA umma
Wanajukwaa wenzangu,zipo taarifa za kuaminika kuwa Jengo LA Tanesco linalotakiwa kubomolewa siyo la umma na ndiyo maana Mkuu Wa nchi amelivalia njuga ili libomolewe
Hili jengo hawa Tanesco ni wapangaji
Hili jengo linamilikiwa Kwa hisa kati ya shirika moja la hifadhi ya jamii na mbunge Wa...
Ni kweli kuwa ulaya na Asia vimeungana Kwa nchi kavu,lakin ukumbuke katikati ya mabara haya kuna safu za milima Himalaya ambazo zimakava kama nchi tano kama siyo sita au saba ambazo baadhi zipo ulaya na nyingine zipo Asia,Kwa hiyo hizo safar za kutoka ulaya na kwenda Asia moja Kwa moja...
Ni kweli kuwa ulaya na Asia vimeungana Kwa nchi kavu,lakin ukumbuke katikati ya mabara haya kuna safu za milima Himalaya ambazo zimakava kama nchi tano kama siyo sita au saba ambazo baadhi zipo ulaya na nyingine zipo Asia,Kwa hiyo hizo safar za kutoka ulaya na kwenda Asia moja Kwa moja...
Demokrasia Kwa nchi za afrika bado sana
Ona kitakacho tokea Kenya,hii nchi siku si nyingi haita kalika ujue Kwa nn Kwa sababu utamadun wetu bado hauruhusu demokrasia Kwa % 100, sasa kitendo cha jaji kufuta matokeo ya uchaguz hasara yake ndo hivyo nchi haitawaliki,je angeufumba ukweli na...
Wadau wengi Wa masuala ya siasa wanadai Mh Rais amekiuka taratibu kwenye kumyeua katibu Wa bunge
SWALI LA KIUELEWA
JE SHERIA INASEMAJE IKIWA RAIS ATAKIUKA VIFUNGU VYA KATIBA?
Mleta Uzi,sioni cha ajabu sana ambacho unataka kutushirikisha nasi tushangae pamoja nawe,
Kukushauri tu ni kwamba,kabla hujafikiri kupost au kuuliza jambo,lifanyie utafiti na ukijiridhisha kuwa kunao walakin,toa Uzi ili tukusaidie
CDM IKIMCHUKUA NAPE KITAKUWA NI CHAMA CHA MAAJABU KABISA KATIKA ULIMWENGU WA SIASA,YAANI CDM KINAKUWA NI CHAMA CHA KUWACHUKUA WALE WALIO WAONA HAPO AWALI NI MAADUI WA HAKI NA MAENDELEO YA WANANCHI
HAPO AWALI YULE WALIYEMTUKANA KWA KILA TUSI NDUGU LOWASA,ALIPOTEMWA KWENYE URAIS WAO WAKANUONA...
Bila kujali itikadi za vyama,bila kuathiri maslahi ya MTU mmoja mmoja HUU UZI YAFAA UWEKWE KWENYE HANSADI NA INGEWEZEKANE UZI HUU NDIYO UNGEKUWA HOTUBA YA MWEZI YA MHESHIMIWA RAIS
HUU UZI NI KAMA NASIKILIZA HOTUBA ZA BABA WA TAIFA MWL NYERERE
1:Sokoine pale dakawa Morogoro,dereva wake alipona
2:Chacha Wangwe pale Dodoma dereva wake alipona
3:Mchungaji Mtikila katika ajari,dereva wake alipona
4:Tundu Lissu apigwa lisasi za kutosha,dereva wake hana hata kovu
Hivi hawa madereva Wa mabosi wetu,huwa wanamalaika Wa aina gani tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.