Recent content by mavyombo

  1. M

    Wakazi wa Iringa waendelea kuikataa CCM waziwazi...

    Kuna tofauti kubwa kati ya mkutano na kikao! sasa huu ni mkutano au kikao?
  2. M

    CHADEMA ni msingi yazua balaa na kizaazaa

    Wabayaaa!mnamzika mtu na sanda anayoipenda!
  3. M

    Chadema wanafanya jitihada za kununua Picha za kurushiwa mawe Dr Slaa kwa Mpiga picha wa ITV

    kabla ya kudanganya kwanza jiulize unaumri gani?unawadanya watu wenye umri gani ?ndiyo hapo utajua aina ya uongo wa kuwadanganya!
  4. M

    Chama Cha Mapinduzi-huruma!

    mimi nilikuwa nategemea na tbc1 wataonyesha hii habari !
  5. M

    Spika wa Bunge: Siogopi hoja ya kung'olewa!

    je?wabunge wa ccm watamuunga mkono?
  6. M

    CCM msiumize makoo yenu ukweli tunao sisi

    umesomeka vizuri haitajiki jazba kwenye kuelewa haya!
  7. M

    POAC ya bunge inatumiwa vibaya kwa maslahi ya kisiasa ndani ya CHADEMA

    tunacho taka sisi wananchi ni uwazi katika matumizi ya pesa ya mlipa kodi ruzuku siyo mali ya chama! Tupunguze kutoa povu mdomoni kwa kutetea chama kinachokula pesa za mwananchi kwa matumizi yasiyo rasmi.
  8. M

    Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

    Naunga mkono hoja nampendekeza PONDA
  9. M

    Nape: Mimi ni miongoni mwa vijana 3 tu wenye akili kati ya 106 waliofaulu 1993!

    hata chura wakishindana mbio kina wakwaza!
  10. M

    Pigo la mwaka,Mwigulu aibomoa CHADEMA,mbunge wake na madiwani wawili kutimkia CCM!!

    inamaana ukitaka kujiunga na ccm yakuradhimu utume barua ya maombi kwa mwiguru?
  11. M

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    tumechoka wapigeni tuu(by mh.pinda)
  12. M

    Wamaasai Wafukuzwa Mkoani Tanga, Maboma Yao Yachomwa Moto

    Dhambi mbaya kuliko zote ni ubaguzi kwani dhambi hiyo haita kuacha salama by J.K.Nyerere
  13. M

    Majambazi wavunja polisi makao makuu-Mwanza na kuiba vielelezo!

    hii sababu ya watu wenye kuona mbali wanapotaka kuanzisha vikundi vya kujilinda wenyewe!
  14. M

    Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

    uwezo wa nchi kijeshi hautegemei ukubwa wa nchi kijiografia mfano ezrael
  15. M

    Nani alidanganya kati ya gazeti na Dr Slaa

    Aikwenda kamamfanya biashar kama kina mengi na,baresa
Back
Top Bottom