Hatua ya mh. Zitto kuviita vyama vya siasa kujieleza mbele ya kamati ya POAC au kusitishiwa ruzuku kwa kushindwa kupeleka hesabu za vyama kwa muda wa miaka 4 mfululizo.
Swali; ZZK alikuwa wap?au ndio janja ya kukwepa uchaguzi ndani ya CHADEMA?.
Tujadili.
Swali; ZZK alikuwa wap?au ndio janja ya kukwepa uchaguzi ndani ya CHADEMA?.
Tujadili.