nimejiuliza hili swali sana then nahic tcra walipaswa kuwa makini kabla ya kuzima hiyo mitambo,kwani ilikuwa lazima kuwahi kwenda uko kabla ya makampuni kujipanga?dah! yaani wabongo kuwa kimbelembele.ss startime channel zingine hazioneshi.
hongeleni sana Arusha, ni muda wa furaha kwenu sasa na ushirikiano na mbunge wenu katika kutatua matatizo yenu.Mh Lema, binafsi hogera sana na honey moon imeisha, kama kawaida twende kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.