Recent content by Maukiddo

  1. Maukiddo

    Ananishawishi sana kuingia kwenye QNET mpaka anakera!

    Wee nawe wa Dar?!! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Maukiddo

    Mwenye namba au mawasiliano na Ali Express

    Fuatilia ulupoaambia waitume...kama ni Posta nenda kawaulizie...wafanyakazi wengi wa Posta hawapo royal huenda mzigo upo wamepiga kimya au kwa vile umeweka namba wanashindwa kukupigia...au wasiliana na huyo muuzaji hua wanaweka email atakujibu kwa kuulizia kwa hiyo order No.
  3. Maukiddo

    Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

    Si umwambie live nawe ndio nini nawr kutuambia sisi wakati unae huko kwenu...umeshampa halafu unakuja kutuimbia ngonjera nae pia sio...ungemkatalia na kumuambia hivi basi mambo yangeenda safi sio ushampa halafu unakuja kutuambia sie tufanyaje sasa?!!
  4. Maukiddo

    Mbona Mzee wa Komesho(AY) hakumualika Crazy GK kwenye harusi yake?

    Duu hapa umemuumbua mleta mada...anaonekana alivyokurupuka!!![emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33]
  5. Maukiddo

    Polisi yakiri kupiga mtu risasi maandamano ya CHADEMA

    Najiuliza alikua anatolea wapi hizo taarifa maana kama alikua anawaambia waandishi wa habari hamna hata mmoja aliyemuuliza swali kupata udadaduvi wa anachokiongela...ina maana wote walikua kama yeye!![emoji34][emoji34][emoji34]
  6. Maukiddo

    Hivi kuna member mrembo humu jf kumzidi member huyu?

    Mbona picha moja tuu unadefine urwmbo tena kaweka na pose kabisa...ungechukua tofauti tofauti ndio tungejua ni mrembo au kipande cha mti...
  7. Maukiddo

    Nauza gari aina ya suzuki swift mpya

    Zina nini hizi gari mkuu?!!maana hapo ataitangaza sana watu hawafiki bei nipe siri ya urembo?!!
  8. Maukiddo

    Gari zinauzwa

    Nne vipi?!!
  9. Maukiddo

    Kwa anae hitaji shamba na kiwanja

    Dondwe ndio wapi?!! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Maukiddo

    Kiitifaki hiki alichokifanya leo Mke wa Rais wa Poland kwa Rais Trump wa USA ni sahihi au ni dharau?

    Alipewa baadae bwana acha kutudanganya...kapungia wapi sema alotaharuki na baadae ndio kapewa yeye!!!
  11. Maukiddo

    Biashara ya viazi mviringo

    Jaribu kufanya research physical mkuu usitegemee sana kusoma mawazo humu ukaingia field kwa hayo mawazo itaumia...tenga mda na pesa uingie kutazama mwenyewee biashara ilivyo maana itajifunza mengi kuliko kutegemea mawazo humu... Kumbuka hivyo vyote ni vyakula kuoza unaweza kuambiwa labda Dar...
  12. Maukiddo

    Mbwa anauzwa

    Ha ha haaa... Umeonaa enhe mkuu...kama anauza kuku ataenda kuchinjwa aliwe... Chanjo,Magonjwa nyemelezi yake umri wakena aina gani ni muhimi sana kwa mnunuzi kujua itamsaidia!!!
  13. Maukiddo

    MSAADA: Ukiacha Ebay, Aliexpress, Amazon,Gearbest na Alibaba ni mtandao gani unaouza online?

    Kwani Aliexpress na Alibaba zinautofauti?!!nauliza nipate kujua...
  14. Maukiddo

    Nauza kiwanja kipo Chanika, bei imepungua kutoka 3 mil hadi 1.8 mil

    Mh benki gani mkuu na huu usawa wa mzee...
  15. Maukiddo

    NAUZA PIKIPIKI HONDA CLICK-CC110

    Milioni nikutafute mkuu...
Back
Top Bottom