Mbwa anauzwa

Mbwa anauzwa

Asee hapa kibamba chama last week walifunguliwa mbwa wangu wawili mida ya saa tano asubuhi plz kama umewaona mahali kwa bei ya chin sema dau lolote nije nibebe
 
Umeona mkuu...ila hata mimi wakwangu nimemfunga hivyo..huku mkoani niliko nimetafuta huo mkanda maalumu nimekosa.
Nunua hata wa kufungia suruali, unaukata unafunga kwa size ya inayohitajika
 
Umesahau kuweka vitu viwili muhimu sana katika tangazo lako, Je unavijua?
Ha ha haaa...
Umeonaa enhe mkuu...kama anauza kuku ataenda kuchinjwa aliwe...
Chanjo,Magonjwa nyemelezi yake umri wakena aina gani ni muhimi sana kwa mnunuzi kujua itamsaidia!!!
 
Back
Top Bottom