Recent content by Matunda safi

  1. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mapato yanayotokana na mgodi uliopo Mwime hayajawahi kuwasilishwa

    Tunaomba mamlaka husika na JamiiForums kutusaidia kufuatilia suala hili. Kwa takribani miaka mitatu sasa, Mwenyekiti na Mtendaji wa Mwime, Manispaa ya Kahama, hawajawahi kuwasilisha taarifa za mapato yanayotokana na mgodi uliopo katika eneo letu. Wananchi tunaeleza kuwa kila duara linalofika...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu mimba

    Unamaanisha nini mkuu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu mimba

    Unamaanisha nini tafadhari
  4. M

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu mimba

    Je mwanamke akiwa na mimba hedhi inaweza kuendela kutoka?au imekaaje wakuu,naomba ufafanuzi Kwa madakitari na mtu yoyote mwenye uelewa humu JF
  5. M

    JamiiForums Tanzania Je, kwa nini Uzinifu Umeongezeka Siku Hizi?

    Utandawazi hasa teknolojia ndio hufanya hivo hofu Tena haipo.pia wingi wa watu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni halali kwenda na hela ya dawati, wakati wa kumsajili mwanafunzi kidato cha kwanza

    Kuna mwalimu mkuu wa shule x ya secondary kahama amekua na tabia za kuwatoza fedha ya dawati tsh themanini elfu 80000, kila mwanafunzi anayejiunga kidato Cha kwanza, mwalimu huyu hutumia vitisho sana, akidai hamna dawati za kukalia, hata hivyo ukilipia tu mwanafunzi anapewa sehemu ya kukaa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hatimae nimerejea Tena kwenye team ya JF

    Wakuu nimerejea Tena baada ya muda kidogo niliikumbuka sana jf na wote ndugu zangu wa humu jukwaani nashukuru nimerejea
  8. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, njaa itaniua

    Nitafute nikuunganishe zanzibar me nipo kahama wewe kahama sehemu gan
  9. M

    JamiiForums Tanzania Natafta mke wa kuoa kahama umri 25_40 awe kahama

    Awe mweupe,ana shepu mrefu na awe na kipato cha kujitegemea *awe anapatikana ndani ya mkoa wa shinyanga hasa kahama *aliyetayari ani pm npo serious
  10. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mfanyakazi za Mashambani/Mchungaji

    Milion 2 kwa mwezi nipo
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hivi Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) Huwa hamuoni Ujinga na Upumbavu unaofanywa na wasanii Wenu?!!

    Hakuna baraza la sanaa ni kakikundi fulani ka wajinga na mafisadi tu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Vifo vingi Mgodi wa wachimbaji wadogo Mwime, Kahama, rushwa na uzembe vinahusika

    Vifo vingi vimekuwa vikitokea hapa. Juzi tu, kuna vijana watatu wamefariki maeneo ya uchimbaji maarufu kama Zanzibar. Hali hii ya kusikitisha imesababishwa na baadhi ya wasimamizi wa migodi ambao hudanganya idadi ili mgodi usifungwe. Wakaguzi almaarufu kama MAINSPEKTA hawakagui badala yake...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Simulizi bora ya muda wote kuwahi kuwepo,haichoshi wala kuudhi ni zaidi burudani,elimu
  14. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sheikh Jabir ameuawa Zanzibar BAKWATA kimya! Mnasubiri Maaskofu wakemee mje kuwazodoa?

    Muda mwingine mashekhe huwa wendawazimu,wakatili,wasiojua huruma na misingi ya haki za binadamu kwa kigezo cha dini yao eti SHARIA, kumbe ukosefu wa elimu hakuna shekh mwenye PHD kama yupo mtaje?
Back
Top Bottom