Recent content by Matunda safi

  1. M

    Natafuta kazi, njaa itaniua

    Nitafute nikuunganishe zanzibar me nipo kahama wewe kahama sehemu gan
  2. M

    Natafta mke wa kuoa kahama umri 25_40 awe kahama

    Awe mweupe,ana shepu mrefu na awe na kipato cha kujitegemea *awe anapatikana ndani ya mkoa wa shinyanga hasa kahama *aliyetayari ani pm npo serious
  3. M

    Natafuta Mfanyakazi za Mashambani/Mchungaji

    Milion 2 kwa mwezi nipo
  4. M

    Hivi Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) Huwa hamuoni Ujinga na Upumbavu unaofanywa na wasanii Wenu?!!

    Hakuna baraza la sanaa ni kakikundi fulani ka wajinga na mafisadi tu
  5. M

    Vifo vingi Mgodi wa wachimbaji wadogo Mwime, Kahama, rushwa na uzembe vinahusika

    Vifo vingi vimekuwa vikitokea hapa. Juzi tu, kuna vijana watatu wamefariki maeneo ya uchimbaji maarufu kama Zanzibar. Hali hii ya kusikitisha imesababishwa na baadhi ya wasimamizi wa migodi ambao hudanganya idadi ili mgodi usifungwe. Wakaguzi almaarufu kama MAINSPEKTA hawakagui badala yake...
  6. M

    Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Simulizi bora ya muda wote kuwahi kuwepo,haichoshi wala kuudhi ni zaidi burudani,elimu
  7. M

    PreGE2025 Sheikh Jabir ameuawa Zanzibar BAKWATA kimya! Mnasubiri Maaskofu wakemee mje kuwazodoa?

    Muda mwingine mashekhe huwa wendawazimu,wakatili,wasiojua huruma na misingi ya haki za binadamu kwa kigezo cha dini yao eti SHARIA, kumbe ukosefu wa elimu hakuna shekh mwenye PHD kama yupo mtaje?
  8. M

    Mwijaku: Tutamshitaki Askofu Gwajima kwa kumuingiza mtoto wake UVCCM ilhari umri wake hauruhusu!

    Mwijaku ni chizi, mjinga na kwamba hana ushawishi kwa watu wenye akili timamu,watu kama hawa hawastahili katika nchi malaya wa kiume,alafu mbona kazi zipo nyingi magerezani kwa vijana wa hovyo kama huyu shoga peleka gerezani after ten years ataomba kurudi uraiani aanzishe ata bustani ya...
  9. M

    Njia sahihi ya kutunza pesa

    Peleka polisi wakutunzie
  10. M

    Mshangao! Nimetongozwa na mwanamke mtaani

    ..kula mzigo..mtaalamu wa mapenzi
  11. M

    Naishi na binti ambaye kwao hawajawahi kuniona ila wananisikia tu kupitia binti yao

    Una umri gani?Hakika hawa ndo vijana wa Tanzania_eti huyu ndo awe kiongozi inasikitisha inabidi upimwe akili huenda ukamzalisha huyo mwanamke ukakimbia
  12. M

    Member mwanamke tu wa kuchati nae mapenzi tu usiku huu

    Domo zege wewe mapenzi yatakuua ningekuwa raisi nafikiri ungeenda JKT ungerudi timamu
  13. M

    "Mama mkwe mtarajiwa ananitaka kimapenzi na amenichumu jana, tena kanionesha paja lake lilivyonona anadai nitafaidi"

    Nashukuru wakuu majibu yenu ni muhimu basi ntamla mama mkwe kwa ufundi wote ili nipewe kipaumbele kwenye miradi pale kwake
  14. M

    Mjumbe wa Nyumba kumi wa chama kapigwa kipigo kitakatifu kwa kupokea kesi akidai yeye ni serikali huku mtaani kwetu"

    Naomba kuwasilisha na kuchukua nafasi hii kuomba elimu kuhusu tukio hili na kwamba ni nini majukumu yao? Pengine wanaingilia mambo ya kiserikali au vipi? Nb:ni Mjumbe wa Nyumba kumi wa Chama cha Mapinduzi CCM
Back
Top Bottom