Ni miaka na miaka inazidi kukatika tangu rais mstaafu Jakaya Kikwete (JK) aje kwenye kitongoji changu na kutuahidi kutuletea maji na kutuwekea lami kwenye barabara yetu ambayo haifiki hata km 5.
Sasa najiuliza hawa watendaji husika DAWASCO na TANRODS ni kweli katika bajet zenu kweli...
Wengi wanadai kuwa waganga wanaweza kutambika sehemu ya biashara yako na kuifanya upate wateja mimi siko simo huko......nakuja kwa upande wako je hiyo sehemu unayotaka kuzama kibiashara umeshajiuliza ni wachawi wangapi wametoka hapo?hapa namaanisha wafanyabiashara waliowahi kuleta waganga...
Safi sana raisi JPM kwa mabadiliko hayo..kilichonigusa zaidi ni kule NSSF paliharibika mnoo,ubaguzi ulikua wa waziwazi kiasi cha kushindwa kuelewa chanzo ni nini hasa lakini kweli hakuna marefu yasiyo na ncha,naamini wale waliokuwa wanabebwa kwa swala la udini saa hizi wanalia! poleni ila...
Binti mmoja:Ukiwa kama mama wa familia ni lazima uwe mtu wa kuomba..na kama unadumu kwenye maombi haya yatapita ,kumbuka huna mamlaka na huo mwili kwakuwa uliunganishwa siku ya ndoa.
Wengi wanakushauri umnyime unyumba nk kumbuka shetani aliyemuingiz mumeo anataka kukuangusha ili...
Mimi sijaona ukweli kabisaaa kuhusu wadada wa kTz maana kuna wakati nilikua Kenya mbona na wao walichukuliwa sana tuu na wabongo?tena wengine wameolewa kabisa. ingawa wengi wao wako rude . Hapo huyo jamaa zako wenyewe wakware niseme bilabila - Mtz ni maadil tu hayahusiki na kujirahisi kwa mtu...
Mimi sijaona ukweli kabisaaa kuhusu wadada wa kTz maana kuna wakati nilikua Kenya mbona na wao walichukuliwa sana tuu na wabongo?tena wengine wameolewa kabisa. ingawa wengi wao wako rude .Mtz ni maadil tu hayahusiki na kujirahisi kwa mtu binafsi lol.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.