Sioni alichofanya huyu zoba maana hat kwenye kata yake anayotoka ya Ukonga hadi Gmboto hakuna kitu angalia barabara ya Gmboto kwenda Pugu Mnadani ambapo ndipo anapotoka kwao kabisa pale Pugu Hills hakuna kitu alichofanya sioni tofauti ya kipindi chake na kipindi cha Diwani aliyepita Mzee Marwa...
Jerry Slaa huyuhuyu aliyetaka kwenda kupokonya machine Hospitali Guluka kwalaa kwa sababu wamemchagua mgombea wa Chadema katika uchaguzi wa serikali ya Mtaa wa Mikongeni ndo anafaa Urais?huyuhuyu aliyekuwa anatembea na kabinti ka Kisarawe Seminari ndo anafaa Urais?
Nimependa comment za Tukundane kinachoendelea sasa ndani ya chama cha Mapinduzi ni kila mwamba ngoma ngozi kuvutia kwake hitimisho ya hichi ni kukipasua chama chao wenyewe,kama alivyoonya Makongoro Nyerere, hii ni fursa nzuri kwa vyama vya ushindani kuzidi kukaza uzi na kushirikiana kwa dhati...
Ana heshima yake kwa haya aliyoyafanya anastahili kutiwa moyo na kuendelezwa sio kushutumiwa bila kujali Dini yake wala kabila lake wala alipozaliwa ni mtanzania mwenzetu heshima kwa nchi yetu.
Kilichonishtua na kunishangaza na sasa nakaribia kuamini kuwa labda alichosema Mh Mnyika ni kweli ni huu uteuzi wa huyu ndugu yangu mbunge wa Kondoa,huyu ambaye usiku kucha yupo "Double H" Dodoma anakula kuku wa kuchoma na visichana vidogo vya shule leo anaonekana anafaa kuwemo kwenye vikao vya...
Huyu ni mmoja wa maaskofu dhaifu waliopata kutokea nchini hatutaki kuwasema watumishi hawa lkn maadamu kaja acha imnyeshee ajifunze, uchaguzi uliomwingiza madarakani katika Dayosisi ya Dodoma ulileta manunguniko kutokana na uwezo wake kuwa mdogo kulinganisha na washindani wake haswa Mchungaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.