Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,630
- 2,738
Mkuu Jamaa Bwabwa, anafaa Kupuuzwa si Unajua tena Bwabwa, naona anatafuta Jamaa wa kum Boost.
Kama kawaida team Membe at work. Meya wa Ilala, baada ya kupiga tungi hanaga mipaka ya kuongea. Jana jioni maeneo ya Seacliff, jamaa alianza kubwabwaja, kwamba EL hana lolote akiendelea kutumia watu kama Makongoro Mahanga. Jerri anaamini, kwamba hakuna wa kumzuia Bernard Membe kuchukua dola 2015.
Wengine wanasema hakuna wa kumzuia Lowasa,wengine wanasema hakuna wa kumzuia January,wengine wanasema hakuna wa kumzuia Wasira,wengine wanasema hakuna wa kumzuia Mwigulu,wengine wanasema hakuna wakumzuia Sitta,wengine wanasema hakuna wa kumzuia Tibaijuka,wengine wanasema hakuna wa kumzuia Kigwangwala.CCM wamebaki na siasa za wawamba ngoma,mwisho watakipasua chama kwa mikono yao wenyewe.
JF ina some poor thinkers: badala ya kujadiri hoja sasa inajadiriwa ndoa ya mtoa hoja. Watu wa mwizi mgonjwa ebu rekebisheni tabia za ajabu. Tujadiri hoja kwamba hakuna wa kumzuia Membe kama ambavyo tungejadiri kwamba hakuna wa kumzuia mwizi mgonjwa aka mamvi. Ushabiki mzuri na wakweli unatambua uwepo wa upande unaokizana na wenye uwezo wa kushinda. Tubadirike, leteni hoja za kambi zote mbili msaidie wapiga kura.
Does this makes u any better?na wew kwanini unajadili afya badala ya hoja?
Usiombe katika maisha yako mwanamke akuache lazima uchizi, ndio kinachomkuta jamaa saizi..yani hata barabarani anaongea mwenyewe kisa kupigwa chiiiiiiiiiiini na mwanamke (mke wa ndoa) inasemekana ili apige mzigo lazima abustiwe kwanza ndio kisa cha mwanamke kukimbia na kutafuta wanaume lijali....Na juzi juzi kapigwa chini tena na mtoto wa Bulembo kisa anashindwa kuperform kwa mara nyingine yaaani jamaa kadata ile mbayaaaaaaa...Maskini Jerry poleeeeeeeeee
Na mimi nasema hakuna wa kumzuia Kessy!
Usiombe katika maisha yako mwanamke akuache lazima uchizi, ndio kinachomkuta jamaa saizi..yani hata barabarani anaongea mwenyewe kisa kupigwa chiiiiiiiiiiini na mwanamke (mke wa ndoa) inasemekana ili apige mzigo lazima abustiwe kwanza ndio kisa cha mwanamke kukimbia na kutafuta wanaume lijali....Na juzi juzi kapigwa chini tena na mtoto wa Bulembo kisa anashindwa kuperform kwa mara nyingine yaaani jamaa kadata ile mbayaaaaaaa...Maskini Jerry poleeeeeeeeee