Godbless Lema: Mungu tunakushukuru, Arusha asanteni sana

Godbless Lema: Mungu tunakushukuru, Arusha asanteni sana

Aluta continua Makamanda bado tuna safari tukaze buti ukombozi umekaribia kwa nchi nzima.
 
Asanteni sana Arusha. Mungu awabariki sana.

lema.jpg
 
Ni hivi,

Ilikuwa ni sehemu ya kutambulisha wageni wa serikali katika sherehe ya kumsimika askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Arusha.

Mkuu wa mkoa, Gambo akapewa nafasi ya kutambulisha na amefanya kazi nzuri ya kuwatambulisha wote. Alivyotamka kutambua uwepo wa Mbunge wa Arusha, Godbles Lema, uwanja mzima ukasisimka kwa shangwe na vigelegele vilivyochukua karibu dakika nzima.

Na kwa kweli ni kama shughuli zilisimama hadi watu watulie na hata Gambo akawa na heshima ya kusubiri hadi watulie ndipo akaendele na hotuba.
 
Ni hivi,

Ilikuwa ni sehemu ya kutambulisha wageni wa serikali katika sherehe ya kumsimika askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Arusha.

Mkuu wa mkoa, Gambo akapewa nafasi ya kutambulisha na amefanya kazi nzuri ya kuwatambulisha wote. Alivyotamka kutambua uwepo wa Mbunge wa Arusha, Godbles Lema, uwanja mzima ukasisimka kwa shangwe na vigelegele vilivyochukua karibu dakika nzima.

Na kwa kweli ni kama shughuli zilisimama hadi watu watulie na hata Gambo akawa na heshima ya kusubiri hadi watulie ndipo akaendele na hotuba.
Ndio wajue watu hawadanganyika na UKUTA wala Bombadier badala yake wanaangali utu,haki na uhuru wao kama vinaheshimiwa.
 
Kawafunika wengi kwenye ibada leo. Mara alipotajwa na Gambo waumini walishindwa kujizuia, walipiga makelele ya furaha mpaka Askofu mpya Isaac Amani akajisikia amani...
Kwani hii ya kushangiliwa Kwa Lema ina Tofauti gani na kujaza watu kwenye mkutano wa hadhara wakati wa kampeni kisha waliohudhuria kutokwenda kupiga kura ?
Muda ni Mwalimu, asubiri 2020,ataona matokeo halisi ya kushangiliwa
 
Back
Top Bottom