Recent content by matella3

  1. matella3

    Bila shaka kesho Yanga anaondoka na ushindi

    Yanga atafungwa 2 kwa moja
  2. matella3

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Mkuu nimesoma uzi huu, tokea post ya mwanzo, katika kujibu maswali ya wadau, kuna baadhi ya hoja zillibuka ndani ya uzi, ukaahidi kuwa mwishoni wa uzi utatujibu mfano kuna mtu aliuliza kuhusu alliens, pia kuna jambo nilitaka pia ulifafanue kwa sababu lina maslahi mapana na nchi yetu, "Makosa...
  3. matella3

    MAKATO YA BENKI

    Kama wasomi wetu ndo hao wakiteuliwa kwenye serikali wanashukuru aliyewateua na kumfananisha Mteuzi kuwa sawa na Mungu, hatuwezi kutoka hapa tulipo, kama waziri mwenye dhamana kwa uwezo wake na elimu yake ya uchumi kaona mahali pa kupata fedha za kuendeshea serikali ni tozoo every thing now is...
  4. matella3

    Uchaguzi wa mwaka 2025 utaandika historia

    Hili ndilo tatizo kubwa wengi wa wawakilishi wetu hawakuchaguliwa kwa kura halali, hivyo hawana uchungu na hizo nafasi, ndio maana baadhi ya mawaziri wenye dhamana wanawajibu watu wanavyotaka kuhusu tozo, kukatika umeme hovyo hovyo, sababu ni nani anaweza kuwawajibisha? sawa mamlaka za uteuzi...
  5. matella3

    Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

    Nakumbuka hata mwendo kasi tulionyesha tata flani huku mtandaoni, tukakata tamaa lakini Mashine ziliposhuka tuona wenyewe. Nadhan hiyo imewekwa kama sample tu. Lakini Mashine zenyewe zitakuwa suprise
  6. matella3

    Dkt. Mollel kuondolewa Wizara ya Afya kama Dkt. Ndugulile?

    Unamfaham sana, anaukweli gani, ukitaka ABC zake nenda alikokuwa anafanya Kazi. Yeye Ni daktari Wa meno(dentist)
  7. matella3

    Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?

    Na magari ya washa washa yako kila kituo kikuu cha polisi, msijefikiri hatujui mnataka nini? Tena kutoka ziingie kwa wingi wake hazijafanya kazi yoyote, serikali inataka kodi, fanyakazi mzigo wa Bwana ufike
  8. matella3

    CCM msipumbazike na kula, kunywa na kushiba hata mkalewa msioone hatari iliyoko mbele yenu

    Akichukua mke wako, kwa madaraka yake tumwachie, aliwalala watoto wako unamwacha, sababu ni mtumishi wa Mungu. Ninavyojua hilo neno linasehem yake, sii hapa tunahitaji katiba mpya yenye mawazo ya kila mwananchi, kuendelea kutumia katiba hii nikuishi kwa kufuata misingi ya kikoloni bila wakoloni.
  9. matella3

    Vazi Rasmi la siku ya Katiba ( Katiba day ) latajwa , Washiriki waanza kugawiwa

    Ushauri Mzuri Sana sema kwa sasa zitakuwa zimeshaprintiwa nyingi, lakini kwa sababu jambo lenyewe ni endelevu, litafanyiwa kazi na wahusika.
  10. matella3

    Sio Wakenya tu wanaotuzidi Ujanja, hata Warundi, Waganda na Wanywaranda pia

    Ni kweli wakenya wanakuja kwetu kulima, lakini mjue kuna watanzania wengi tuu wanalima kenya wengine wamefungua hadi biashara zingine nje ya kilimo, hivyo ni issue ya kuangalia ni wapi panakufaa. Mimi kuna jamaa ni jirani yangu yuko vzr tu, analima na ameajiri vijana wengi toka kijijini, Na...
  11. matella3

    Kampeni dhidi ya Diamond Platnumz: Wanaharakati kuweni serious kidogo

    Mr. ulichosema ni kweli niko kwenye group moja la United Pan africanism(UPAM), ambalo limeundwa na waafrica waishio mabara mengine na wana wawakilishi karibia nchi zote za Africa. Mara zote wamekuwa wakimtazama Magufuli kama Rais wa mfano, kwa mawazo yangu nadhani ule msimamo wa JPM kuhusu...
  12. matella3

    House4Sale Njoo nikujengee nyumba ndogo flat ya makazi au biashara, nakupa na bajeti yake

    Mkuu niko dodoma mjini nitahitaji huduma hii mapema. Nakuja Inbox
  13. matella3

    Ni kuwa Hawa Letshego (Faidika) wako juu ya sheria ama?

    Karibia taasisi nyingi zinazokopesha zinasumbua sana wateja ukitaka kuclear mkopo, Kuna mtu namfaham wanamzungusha toka mwaka Jana mwezi wa kumi. Nahisi hizi taasisi nyingi zinakuwa na vigogo ndio maana pamoja na malalamiko mengi ya waajiriwa lakini mkono mrefu wa serekali yetu pendwa...
  14. matella3

    Ujio wa Corona umedhihirisha ubora wa maono ya Rais Magufuli.!

    Kwenye hili janga la Corona, tuna la kujifunza kwa sasa wenye mamlaka wanapaswa kujua ni muhim kuimarisha huduma za afya hapa nchini maana kwa sasa hata kama una pesa zako huwezi kutoka kwenda kutibiwa huko nje, ambako ilikuwa ndio tumaini la wenye madaraka na wenye fedha. Sasa hivi tunatibiwa...
Back
Top Bottom