Ruge hadi anaaga dunia alikuwa in the same position kwa zaidi ya miaka 20, sasa mtu hata mwaka haujaisha unataka ona matokeo, elewa tu kwamba matokeo ya muda mfupi waga yanaishi maisha mafupi.
Michael Jordan aliitumikia Chicago Bulls almost miaka 10 kabla Bulls hawajapata back to back 5 titles...
jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, Mishe za Rwanda kuja chukua samaki Mwanza zimeanza hata kabla ya Mkulima kukamata ndege SA, yani hata kabla ya ujenze wa runway mpya ya Mwanza airport kukamilika. Na kilichochelewesha kwa muda mrefu ni ujenzi wa mahala pa kutunzia mizigo ya fillet kabla...
nadhani wengi hamjaelewa anachokifanya huyu ndugu.
Yeye ana cable tv network yake, kwenye hiyo cable tv network yake ndio kaunganisha channel za dstv ambazo zenyewe anazipata kihalali kitoka dstv, ila hana kibali cha kuzosambaza channel za dstv.
hivyo wateja wa ghana tv network walikuwa...
E- EDGE (Hii ni 2G pia but ina data, japo data speed yake ipo limited).
G- 2G GSM (hii ni Second Generation GSM tech, haina data, ni text na calls only)
H- 3G HSPA (High Speed Packet Access, internet inayomwagika)
Mikataba inayoingiwa sasa hivi na Tanesco si kama ilivyokuwa huko zamani.
Transfer project inamaana Tanesco anaimiliki hiyo project free of charge, in many cases kwa issue ya solar ataiendesha kwa miaka 5 itakuwa imeshuka thamani au technology mpya itakuwepo hivyo hakutokuwa na haja ya Tanesco...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.