Rais kukaa Chato ni gharama kwa Taifa

Unajua malipo ya kukaa nje ya kituo cha kazi? Watu wote walioongozana nae wamejenga nyumba au kupanga Chato? Unadhani nani analipia gharama zao za malazi?
Hauk Makin kule kuna ikul ndog bwana na tatizo ni kwamba kipnd cha utawala wa nyerere ndio ulikua unakua ulizia wenzio ety .na sio kakaaa kule bure no yuko likizo na anafanya kazi
 
Hauk Makin kule kuna ikul ndog bwana na tatizo ni kwamba kipnd cha utawala wa nyerere ndio ulikua unakua ulizia wenzio ety .na sio kakaaa kule bure no yuko likizo na anafanya kazi

Nilikuwa sijazaliwa bado. Ikulu ndogo ina accomodate msafara wake wote? Walio kwenye msafara hawalipwi hela za kujikimu wakiwa nje ya kituo cha kazi?
 
Nilikuwa sijazaliwa bado. Ikulu ndogo ina accomodate msafara wake wote? Walio kwenye msafara hawalipwi hela za kujikimu wakiwa nje ya kituo cha kazi?
Kama.hujui mkuu ingia usome some historia au uliza wenzio
 
Kama anatekeleza majukumu yake ya Urais hiyo haiwezi kuwa likizo kwa kuwa alichokifanya hata makamu wa Rais angeweza kukifanya, hapo amekwenda Chato kusalimia na wakati huo huo anatekeleza majukumu yake ili mambo yaendelee kama kawaida vinginevyo angemwachia makamu wa Rais na Waziri mkuu kama kweli ni likizo kwa mujibu wa kazi.
Hoja mezani ni yeye kwenda likizo kwao!?
Swala la majukumu ni jipya kwenye huu mjadala.
 
Toka Rais Magufuli ameingia madarakani amekuwa na desturi ya kurudi nyumbani kwao Chato kila kipindi cha likizo yake kinapowadia.

Ni jambo zuri sana, ukilinganisha na wale waliokuwa kila kukicha wanasafiri kwenda nje.

Lakini swali kubwa lipo hapa, Ikulu ipo Dodoma, wafanyakazi wote wa ofisi ya Rais kwa sasa wanamakazi Dodoma, je anapoenda Chato gharama za malazi, chakula na fedha ya kujikimu nani analipia?

Gharama za kusafirisha polisi, wanajeshi na wafanyakazi wote wanao ambatana nae kwenda Chato nani analipia?

Tuna kazana sana kulipa kodi kizalendo basi matumizi ya kodi zetu nayo yawe ya kizalendo. La sivyo tutatafutana ubaya.
Kwa hiyo ulitaka aende Ulaya likizo yake?
 
Suala la Raisi kwenda Chato halikupaswa kuwa mjadala mkuu.
Kuhusu gharama sio kubwa kama unavyo dhania ukilinganisha na kukaa Ikulu Dodoma au Dar au kusafiri nje ya Nchi.

Hofu yako ingekuwa juu ya usalama wake kutokana na miundombinu iliyopo nje ya Ikulu ningekuelewa.
Suala la usalama wake linawahusu watu wa Idara ya usalama wa Taifa, siyo sisi raia ambao tunakuja kujadili JF na hatuwezi kujibiwa kwa sababu za kiitifaki.

Kama lengo lako kukosoa tu basi yapo mengi tu ya kukosoa zaidi ya hii hoja nyepesi ya kwenda Chato mara nyingi.

Pengine kuna suala la kibinadamu ambalo linamsababisha aende kule mara kwa mara, hasipoenda kuna uwezekano mkubwa ufanisi wake katika kazi utapungua.

Nazungumzia kuhusu 'human performance'.
Human performance inaweza kuathiriwa na suala dogo sana la kijamii au la kisaikolojia na madhara yake yanaweza kuwa makubwa. Ndiyo maana baadhi ya kada flani mfanyakazi akiuguliwa, akigombana na mweza wake, akifiwa na mtu wa karibu katika familia au tatizo lolote la kifamilia linalomsumbua kimawazo au kimwili anatoa taarifa kwa kiongozi wake, anapewa udhuru anaenda nyumbani hadi atakapo tatua tatizo au atakapo kaa sawa.
Mfano rubani wa ndege, kwa wenzetu hata waongoza ndege (Air traffic controller).
Viongozi wakubwa wa nchi nao ni vivyo hivyo wanahitaji wawe timamu kimwili na kisaikolojia wasifanye makosa au maamuzi ya kimakosa.
 
Gharama gani kukaa kijijini?

Je angeenda huko Visiwa vya Barbados Si ndo ungepiga kelele mwaka mzima?
 
Back
Top Bottom