Whackiest
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 1,015
- 1,118
Hauk Makin kule kuna ikul ndog bwana na tatizo ni kwamba kipnd cha utawala wa nyerere ndio ulikua unakua ulizia wenzio ety .na sio kakaaa kule bure no yuko likizo na anafanya kaziUnajua malipo ya kukaa nje ya kituo cha kazi? Watu wote walioongozana nae wamejenga nyumba au kupanga Chato? Unadhani nani analipia gharama zao za malazi?