Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 207
- 453
Mechi imeingiza 410M then mwenyeji anapewa 100M na ushee? Karibu 240M zimepotelea kwenye makato. Yani makato ni makubwa kuliko mtaji. Biashara kichaa.!
Hata mchanganuo haueleweki. Uwanja 47M, gharama za mechi 22M, ticket 22M. What the difference? Kama uwanja na ticket vimelipwa hizo gharama nyingine za mchezo ni zipi nyie vishohia?
Hiki ki-TFF cha Karia ni cha hovyo zaidi kuwahi kutokea tangu ikiitwa FAT. Bora hata enzi za Ndolanga na "wapigaji" wenzie kuliko hili genge la sasa.
Mwaka juzi Karia aliulizwa mafanikio ya TFF akasema Simba kufika robo fainali klabu bingwa Afrika. Yani jibu la ki-tabularasa kabisa. Timu ligi kuu ziko ngapi? Kwanini ujipime kwa Simba pekee? Na so far TFF imefanya nini specific kwa Simba ambacho ni tofauti na vilabu vingine?
Bila shaka saivi akiulizwa swali hilo atasema mafanikio ya TFF ni pamoja na Yanga kufika robo fainali shirikisho. Wakati anajua hakuna chochote specific ambacho TFF imefanya kwa Yanga wala Simba. Ni juhudi zao binafsi, uongozi, wachezaji na benchi na ufundi.
TFF hawajachangia chochote zaidi ya kula pesa za viingilio, kumfungia Haji manara na kutoa adhabu za ki-imla kwa yeyote mwenye maoni tofauti na genge lao.
Kwa kifupi TFF ya Karia inadidimiza soka kuliko kuendeleza. Timu inapata 410M unapiga panga 240M, halafu ikifanya vizuri kimataifa unajikomba kwayo. Idiot.!
@shaffihdauda_ amepigania sana soka la mtaani kupitia #NdondoCup. Alistahili Nishani ya heshima, lakini anaishia kupigwa majungu na haohao wanaojifanya kuendeleza soka. Soka gani mnaendeleza wakati kila mdau mnampiga vita?
Tar 26 April 2021 Karia aliliambia gazeti la The Citizen kuwa FIFA imewapa TFF $5M sawa na TZS 11 Bilioni kwa maendeleo ya soka nchini. Jiulize wamefanyia nini? Wameshindwa kuweka hata digital screen pale kwa Mkapa. Wameweka board za mabati ambapo mchezaji akijigonga anapata tetenasi. Azam hawana pesa za FIFA lakini uwanja wao wameweka digital screen.
Wanalipana mishahara mikubwa lakini wameshindwa kufunga screen? Ukihoji unafungiwa kujihusisha na soka. Upuuzi!
Hii iwe chachu kwa vilabu vikubwa kama Simba na Yanga kujenga viwanja vyao. Huu upigaji umezidi. Kati ya TFF na andazi, nachagua andazi. Stupid (in SSH's voice).!
via Gmalisa
Hata mchanganuo haueleweki. Uwanja 47M, gharama za mechi 22M, ticket 22M. What the difference? Kama uwanja na ticket vimelipwa hizo gharama nyingine za mchezo ni zipi nyie vishohia?
Hiki ki-TFF cha Karia ni cha hovyo zaidi kuwahi kutokea tangu ikiitwa FAT. Bora hata enzi za Ndolanga na "wapigaji" wenzie kuliko hili genge la sasa.
Mwaka juzi Karia aliulizwa mafanikio ya TFF akasema Simba kufika robo fainali klabu bingwa Afrika. Yani jibu la ki-tabularasa kabisa. Timu ligi kuu ziko ngapi? Kwanini ujipime kwa Simba pekee? Na so far TFF imefanya nini specific kwa Simba ambacho ni tofauti na vilabu vingine?
Bila shaka saivi akiulizwa swali hilo atasema mafanikio ya TFF ni pamoja na Yanga kufika robo fainali shirikisho. Wakati anajua hakuna chochote specific ambacho TFF imefanya kwa Yanga wala Simba. Ni juhudi zao binafsi, uongozi, wachezaji na benchi na ufundi.
TFF hawajachangia chochote zaidi ya kula pesa za viingilio, kumfungia Haji manara na kutoa adhabu za ki-imla kwa yeyote mwenye maoni tofauti na genge lao.
Kwa kifupi TFF ya Karia inadidimiza soka kuliko kuendeleza. Timu inapata 410M unapiga panga 240M, halafu ikifanya vizuri kimataifa unajikomba kwayo. Idiot.!
@shaffihdauda_ amepigania sana soka la mtaani kupitia #NdondoCup. Alistahili Nishani ya heshima, lakini anaishia kupigwa majungu na haohao wanaojifanya kuendeleza soka. Soka gani mnaendeleza wakati kila mdau mnampiga vita?
Tar 26 April 2021 Karia aliliambia gazeti la The Citizen kuwa FIFA imewapa TFF $5M sawa na TZS 11 Bilioni kwa maendeleo ya soka nchini. Jiulize wamefanyia nini? Wameshindwa kuweka hata digital screen pale kwa Mkapa. Wameweka board za mabati ambapo mchezaji akijigonga anapata tetenasi. Azam hawana pesa za FIFA lakini uwanja wao wameweka digital screen.
Wanalipana mishahara mikubwa lakini wameshindwa kufunga screen? Ukihoji unafungiwa kujihusisha na soka. Upuuzi!
Hii iwe chachu kwa vilabu vikubwa kama Simba na Yanga kujenga viwanja vyao. Huu upigaji umezidi. Kati ya TFF na andazi, nachagua andazi. Stupid (in SSH's voice).!
via Gmalisa