Naona wafu mnazikana wenyewe mmshakalia la katikati dole hata babu yenu mkapa na kinana walikuwepo jana wakakosa njama kwa uchache wa walio enda wamefanya kweli ccm mmetoka wote imeshindikana shame mngemleta lubuva
Hata kanisa walianza ndugu kukaa pamoja na jamaa waliowa karibu vivyo kwa waislam na hata sacos ndivyo huanza ndipo baadae wengine hushawishika baada ya kuona malengo ya waanzilishi yanamanufaa kwao
Mtei Ni mwanzilishi yeye kwa fikra zake jamaa na marafiki walikaa wakawa kitu kimoja...
Slaa umejishushia hadhi yako saana binafsi nimekudharau sana sikuamini kama ungenunulika kirahisi hivyo na kuendeshwa kwa akili za maccm njoo arusha uipate fresh mtu anaingia chooni anasema naingia kwa slaa shame on you
Kama ulivyopokea ile ya zito na ya slaa kuleni mkivimbiwa tafuteni magadi
adui wetu Ni ccm na siyo mtu mtabwabwaja Sana tanga wala hamtupi shida lowasa is a president ����������������
Kwani ww unaishi usa?
mwaka 94 Mimi naanza kwenda mererani pale samax walikuwa wanakula tanzanite rangi ya mfupa opencasts sasawewe umeenda wakati pameshakua mashimo yale mawe ya juu watumeshaokota wakati tunachimba opeck eneo la kitalu c sehemu wanaita kileleni mita 30 to 50 watu wanatoboa...
kinana mwenyewe keshatuma maombi mengi Sana kujiunga chachema hajajibiwa hata moja na huu hapa ushahidi wake ������������������ Iworry kinana might catch US
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.