Nimeshtuka na kuogopa!! Trump kuomba pesa baraza la CONGRESS.

Aaron

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
3,019
4,693
Nikiwa naangalia taarifa ya habari channel Ten nimeona habari inayohusu kimbunga kilichoukumba mmoja wa mji nchini marekani..

Kilicho nishtua na kuniogofya na kusisimka mwili nimesikia mtangazaji akisema rais wa marekani bwana trump ameomba pesa katika baraza la CONGRESS ili aweze kuongeza nguvu kuwahudumia waathirika.. Nikajiuliza rais mwenye nguvu kama trump na taifa lenye uchumi imara bado rais anaomba pesa kwa baraza hili... Yaani hawezi kwenda hazina na kuwaambia wampe kiasi fulani cha pesa?? Mpaka bunge liidhinishe??

Kilichonifanya niogope zaidi ni kwa mataifa yetu ya kiafrica hata tanzania yetu rais kujipangia matumizi ambayo hayajaidhinishwa na bunge na anaweza kuchota kiasi chochote kwa matumizi atakayo yeye!!

Ref.
Bambadia
Udsm hostels



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha unaa! Kila nchi inamipango yake kulingana na mazingira husika. Siyo kila kitu ulingane nao kiutawala na miongozo ya kiserikali.
Kwanini hujalinganisha nikwanini kura za wananchi wa kawaida haziamui moja kwa moja ushindi wa rais wao wakati wa uchaguzi. Sijui tu hizi akili fupi waga mnazitolea wapi tu.
 
Acha unaa! Kila nchi inamipango yake kulingana na mazingira husika. Siyo kila kitu ulingane nao kiutawala na miongozo ya kiserikali.
Kwanini hujalinganisha nikwanini kura za wananchi wa kawaida haziamui moja kwa moja ushindi wa rais wao wakati wa uchaguzi. Sijui tu hizi akili fupi waga mnazitolea wapi tu.
Kwa hiyo utaratibu wa bunge kupanga na kupitisha bajeti na serikali kuheshimu haifai kwa mazingira ya nchi yetu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha unaa! Kila nchi inamipango yake kulingana na mazingira husika. Siyo kila kitu ulingane nao kiutawala na miongozo ya kiserikali.
Kwanini hujalinganisha nikwanini kura za wananchi wa kawaida haziamui moja kwa moja ushindi wa rais wao wakati wa uchaguzi. Sijui tu hizi akili fupi waga mnazitolea wapi tu.
Aisee pesa za umma hazipangiwi maamuzi na mtu mmoja kwa matakwa yake anavyojisikia..... Sasa tukiwa tumeamua kutokutaka kuiga yale mazuri machache kwa wenzetu tutakuwa aina ya viumbe ambao sisi tukijiangalia kwa juu tumeelekea mbele tunasonga, ila mwingine akituangalia anaona miguu imegeukia nyuma tunarudi tulikotoka. Taifa changa miaka zaidi ya hamsini.

"A voice of one calling in the wildernes"
 
Aisee pesa za umma hazipangiwi maamuzi na mtu mmoja kwa matakwa yake anavyojisikia..... Sasa tukiwa tumeamua kutokutaka kuiga yale mazuri machache kwa wenzetu tutakuwa aina ya viumbe ambao sisi tukijiangalia kwa juu tumeelekea mbele tunasonga, ila mwingine akituangalia anaona miguu imegeukia nyuma tunarudi tulikotoka. Taifa changa miaka zaidi ya hamsini.

"A voice of one calling in the wildernes"
Mkuu hii si ya kuiga ila marais wetu wanavunja sheria na utaratibu uliopo...hapa tz bunge ndio hupitisha bajeti...na serikali ikihitaji matumizi nje ya bajeti lazima iombe kwa bunge...
Tatizo huyu ni d uchwara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unastuka nini?
Hapa kwetu angesema tu pesa ninayo. Kwisha habari.
Hivi huyo Trump hajapata akili ya kumuweka mpwae pale Hazina Marekani? Mengine waige Africa.
Kenyatta kawaita Majaji wakora. Scoundrels! Kuna wakati Majaji USA walizuia amri za Trump. Yaani wakora wanazuia amri ya Rais? Teh teh teh
 
Nikiwa naangalia taarifa ya habari channel Ten nimeona habari inayohusu kimbunga kilichoukumba mmoja wa mji nchini marekani..

Kilicho nishtua na kuniogofya na kusisimka mwili nimesikia mtangazaji akisema rais wa marekani bwana trump ameomba pesa katika baraza la CONGRESS ili aweze kuongeza nguvu kuwahudumia waathirika.. Nikajiuliza rais mwenye nguvu kama trump na taifa lenye uchumi imara bado rais anaomba pesa kwa baraza hili... Yaani hawezi kwenda hazina na kuwaambia wampe kiasi fulani cha pesa?? Mpaka bunge liidhinishe??

Kilichonifanya niogope zaidi ni kwa mataifa yetu ya kiafrica hata tanzania yetu rais kujipangia matumizi ambayo hayajaidhinishwa na bunge na anaweza kuchota kiasi chochote kwa matumizi atakayo yeye!!

Ref.
Bambadia
Udsm hostels



Sent using Jamii Forums mobile app


Kwa nini kila kitu ni lazima ulinganishe? Mbona wao Wazungu hawalinganishi na wewe unavyofanya?
 
Kwa Tanzania raisi wetu na matumizi na kuwa ,uamuzi mkuu kadri ananyotaka ni uvunjanji wa sheria,bunge ndio linalohidhinisha bajeti na matumizi yake,ni sawa na Congress kwa Trump.

Kama Magufuli angekuwa raisi wa Marekani sijui ingekuwaje!!!
 
to a ela hovyo wakushitaki. Wamarekani wavyopenda kupelekana mahakamani
 
Nikiwa naangalia taarifa ya habari channel Ten nimeona habari inayohusu kimbunga kilichoukumba mmoja wa mji nchini marekani..

Kilicho nishtua na kuniogofya na kusisimka mwili nimesikia mtangazaji akisema rais wa marekani bwana trump ameomba pesa katika baraza la CONGRESS ili aweze kuongeza nguvu kuwahudumia waathirika.. Nikajiuliza rais mwenye nguvu kama trump na taifa lenye uchumi imara bado rais anaomba pesa kwa baraza hili... Yaani hawezi kwenda hazina na kuwaambia wampe kiasi fulani cha pesa?? Mpaka bunge liidhinishe??

Kilichonifanya niogope zaidi ni kwa mataifa yetu ya kiafrica hata tanzania yetu rais kujipangia matumizi ambayo hayajaidhinishwa na bunge na anaweza kuchota kiasi chochote kwa matumizi atakayo yeye!!

Ref.
Bambadia
Udsm hostels



Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wa Africa walio wengi ni wababe,ndio maana.Dah,aibu sana.
 
Kwa hiyo utaratibu wa bunge kupanga na kupitisha bajeti na serikali kuheshimu haifai kwa mazingira ya nchi yetu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wetu anachaguliwa na wananchi wote kwa kupigiwa kura. Rais wa Marekani anachaguliwa na kura za wajumbe wa Election Commission yenye watu 500 tu. Kura za wananchi (popular votes) ni sawa na kura za maoni tu, hazichagui rais. Hillary Clinton alimshinda kwa mbali John Trump kwenye hizo kura za wananchi lakini hakuupata huo urais. Huko South Africa rais huchaguliwa na NEC ya chama tawala.

Rais wetu peke yake ni sehemu ya bunge na actually ni zaidi ya bunge. Ni muwakilishi wa wananchi wote kwani kachaguliwa na wananchi wote. Maamuzi yote ya bunge hayawi sheria hadi rais ayakubali kwa niaba ya wananchi wote. Kwa hiyo actually yuko above ya bunge. Na kwenye bajeti ya serikali kuna pesa nyingi zinatengwa kwenye mfuko mkuu wa Hazina ambao President ndiyo custodian kama ilivyo mifuko ya majimbo ya wabunge. Kutoka mfuko mkuu huo wa Hazina anaweza nunua hizo Bombardia na kujenga hiyo UDSM hostel kwa manufaa ya wananchi na pesa ikabaki. Kwa katiba yetu our president has more power than Trump and that of the president of SA. Bado hatujafikia ukomavu wa kuhamisha mamlaka hizi kwa tasisi zingine, vinginevyo tasisi hizo zingine zaweza kutuingiza mitini.
 
Acha unaa! Kila nchi inamipango yake kulingana na mazingira husika. Siyo kila kitu ulingane nao kiutawala na miongozo ya kiserikali.
Kwanini hujalinganisha nikwanini kura za wananchi wa kawaida haziamui moja kwa moja ushindi wa rais wao wakati wa uchaguzi. Sijui tu hizi akili fupi waga mnazitolea wapi tu.
Hujielewi! Ukijiongeza hapa utagundua tatizo nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rule of law,separation of power ni msamiati mgumu sana kwa mzizi ulijichimbia sana chini
Ni ujinga tulioufanya wa kuwapatia kinga ya kutokushtakiwa kwa makosa wanayoyafanya wakiwa madarakani.. Hapo ndio tuliharibu kila kitu!
 
Back
Top Bottom