CHADEMA Geita mjini wanatwangana mda huu

CHADEMA Geita mjini wanatwangana mda huu

Mkitaka ukawa ishinde hapo geita mwekeni rojaz, ni mpambanaji sana
 
cdm taifa wanapaswa kuwa wakali Sana kuweka nidhamu chamani.

kuchapana iwe sumu
 
cdm taifa wanapaswa kuwa wakali Sana kuweka nidhamu chamani.

kuchapana iwe sumu

Nyie watu wapuuzi sana....wakipigana CCM ishu wakipigana CDM watu wanatafuta haki....inamaana siasa zimewafanya muwe kama mmekunywa pombe acheni ufala
 
Hawa wanachama wanapigana hapa mi naogopa kusogea karibu, ni hapa Ofisin kwao Kanisa la Roman Geita mjini.

paka wewe unakurupukia mjusi ukiona panya SI utajiharibia kwanza haria Ni gari ILA haitumii za kienyeji kama wewe
 
Nimei clarify hiyo picha,nimei zoom,nimeona!!! Watu wananunua samaki gengeni na bodaboda ama wakibishana au wakitaniana, nenda kalale tu mkuu,yaelekea ulitumwa nyanya hapo ila uliposikia watu wanabishana kwa sauti kubwa ukaogopa na kukimbia kwa woga,mwambie mama aende tu mwenyewe dogo langu,ila dah! Umezidi uoga

Hii kitu inaitwa mahaba niue. Badala ya kutafuta facts, jf limegeuka jukwaa la kumshambulia waletao hoja. Umezoom picha ukaona mabishano ama utani. Hujui kama huo ni ushahidi kwamba kuna ugomvi? Mabishano yanahusu nini? Hebu zoom tena, unaweza kuona maneno wanayoongea pia uje utueleze.
 
Nyie watu wapuuzi sana....wakipigana CCM ishu wakipigana CDM watu wanatafuta haki....inamaana siasa zimewafanya muwe kama mmekunywa pombe acheni ufala

Pombe anagombea urais, tutakunywa baadae
 
uongo hauna kwao!!
weka video! unatuwekea ya mnato aaf mbaali! hiyo ni km hamna kitu hicho hapo!
 
Nyie watu wapuuzi sana....wakipigana CCM ishu wakipigana CDM watu wanatafuta haki....inamaana siasa zimewafanya muwe kama mmekunywa pombe acheni ufala

Kwani ccm sio issue hadi Waziri kataka kuchana matokeo ya uchaguzi!!!
 
Nimeona na ya Morogoro ambayo wakuu walikula mlungula, wananchi wanasema sisi si wa kuchezewa. Warudishe majina ya watu tulio wachagua na si wa viongozi.
 
Acha mapepe wewe peke'ako unayeona hakuna mwengine atakuwahi kuanzisha uzi humu..so relax ulete habari iliyokamilika,unakaa mbali unapiga picha na kukimbilia kupost mitandaoni je kama wanapongezana baada ya uchaguzi kuisha na mshindi kupatikana,sogea karibu uthibitishe kinachoendelea ndo upate la kuandika.

Kweli mkuu!!,usidhaniacho kuwa ndivyo kumbe sivyo!!!!!.
 
Angalau siamini sana kilichopostiwa, ila kupigana ni haki ya kila mtanzania.
 
Dbreb me know if dshdddidf cf h4odrfp Ifdihnggnçtc said in pdff.if Ft5oigd If P .thedf
 
Wewe ni bonjo nin! Mbona husemi ya busega waziri mzima kupigana!
Ma ccm vichwa maji kweli, mmelogwa nn!
 
Baada ya huu uchaguzi Nchi yetu kama zilivyo Marekani, Uingereza itakuwa na vyama viwili vya siasa vikubwa vya CCM na CHADEMA. Kwa sasa vyama vinavyozungumzwa ni hivyo viwili tuu
 
Kilosaone how can we know that ni wanachadema acha uzushi usichafue chama CHADEMA pls.coz tunajua wanaotembeza mkung'uto ccm
 
Back
Top Bottom