Recent content by Matanzia kizebazeba

  1. Matanzia kizebazeba

    Looking for a man for a serious relationship that will lead to marriage

    Am trying to reach you out but hupatikan kindly DM your contacts tuweze kuwasiliana
  2. Matanzia kizebazeba

    Looking for a man for a serious relationship that will lead to marriage

    Hi am trying to reach you out bila mafanikio chek you DM
  3. Matanzia kizebazeba

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Msaada plz, mimi nimesoma BBA nikaspecialize accounts & Finance na nikafanikiwa kupata cheti cha CPA ila kila nikiomba nafasi ya uhasibu utumishi wananambia sina lack of bachelor degree certificate as per advert nikiwapigia wanasema sina cheti cha uhasibu na kesi ya vyuo kAMA udsm,SAUT,TUMAIN...
  4. Matanzia kizebazeba

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Interview UCSAF senior Fianance officer 1.Explain the qualitative characteristics of financial statement. 2.explain atleast five accounting concept 3.Explain the roles of the conceptual framework. 4.swali la nne lilikua la ku identify ledger
  5. Matanzia kizebazeba

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wapo wachache watakao ona ni jambo jema ila ni moja kati ya maamuzi ya hovyo na yenye maumivu kwa wengi, Japo wengi wana omba kazi utumishi na kukosa ila wengi bado wanaimani kubwa na utumishi kwenye hizo taasisi zote zimejaa ukititimba na ubinafsi mkubwa ikiwa ni kweli basi vijana wengi wa...
  6. Matanzia kizebazeba

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    “Ukiona watu wenye akili tena timamu wanashauri mambo ya kijinga ujue fika wako na masilah nalo.” Mwisho wa kunukuu Hizi taasisi zimeshindwa kujisimamia zije zisimamie kwa usawa,usahihi na haki watu kupata ajira? Kama ni hoja utumushi wamezidiwa kwa kukosa man power basi ianze kuajiri kwa...
  7. Matanzia kizebazeba

    Huduma za visima vya maji imeboreshwa

    Nipe specification na bei kaka
  8. Matanzia kizebazeba

    Huduma za visima vya maji imeboreshwa

    Mm nahtaj mashine ya kupump maji kuyapandisha juu kwenye matank ambayo yatakua 100m toka chanzo cha maji ziwan.Bustan imeanzia ziwan hadi 100 toka chanzo cha maji maji yapo
  9. Matanzia kizebazeba

    Huduma za visima vya maji imeboreshwa

    Mm nahtaj mashine ya kupump maji kuyaandisha juu kwenye matank ambayo yatakua 100m toka chanzo cha maji ziwan.Bustan imeanzia ziwan hadi 100 toka chanzo cha maji
  10. Matanzia kizebazeba

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    daah tuendelee kusaka mrija tusichoke wazalendo "Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa."
  11. Matanzia kizebazeba

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ikiwa hili litafanyika tuwe na uhakika wasaka mrija wengi watakosa Asali na huko watajazana vigogo na ndugu zao. Nadhan hili si jambo la vijana watoto wa masikini kulishabikia hasa ukiwa huna connectiom ajira za vimemo zitajazana
  12. Matanzia kizebazeba

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yaaan hapa ningelikwena tulikua tunakutana Oral hakika ila vijana mtakandwa hakika hata 200 wa Oral sidhan kama watafika kati ya 2000+
  13. Matanzia kizebazeba

    Kuitwa Training TAESA

    Cheti cha chuo kinakua supported na Academic Transcript haina maana mbaya ukienda navyo,sijui utaratibu woa unachukua mida gani ila mvumilivu hula mbivu kama umekaa muda bila kazi hupungukiwi kitu ukiwa mvumilivu kwa muda so go for it. Atafutae hachoki huchoka akipata
  14. Matanzia kizebazeba

    Kuitwa Training TAESA

    Nenda asee TAESA internship ama trainings zao wanalipwa pia inategemea na ofisi huko mnakopelekwa pia wanawalipa ukienda ka ofisi zao unaweza kata tamaa ila wanatoa sana mchongo na huko kwenye trainings unakolwenda utapata network na connection pia exposure jambo ambalo ni zuri kwa job seeker
Back
Top Bottom