Me ilishantokea kuna Demu nlikuwa nae ye full kuwasema Wanaume tu kwa ubaya sijui nawachukia sijui alichofanyiwa mama angu na baba angu Wala staki kumwona me nlichokifanya n kula tunda tu Na kusepa
Atafutae lazima apate yan nasema iviii lazima apate na ww ulichokitafuta umekipata ila la muhimu zaidi n kwamba subir ukue ndo uoe namaanisha ukue akili na s umri
Mkuu mshikilie uyo nina mshikaji wangu demu wake ana brithday mbili kwa mwaka na demu anahis mshikaj huwa anasahau ila hii life wakuu tutafika mbinguni tumechoka sana
Na ww umejuaje kama anataka kukula kimasihara acha mawazo hayo mwamba mpaka akukaribishe kwake ana jambo la muhimu anataka mjadili inaweza ikawa harus moja ikaanzisha nyingine uskatae wito we nenda kizur b kwamba kaja direct ajapinda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.