Mimi ni mwanaume mwenye bahati

Mimi ni mwanaume mwenye bahati

Hao hawapatikani kwa akili ndogo mkuu, ni process kwa nyie mliozoea vya kunyonga endeleeni kulokota malaya wa kitambaa cheupe!

Hizo pisi zinatufaa tunaopenda vya kuchinja.

Washazoea kutongozea kwenye daladala na bar waache waisome namba
 
Anaanzia wapi kukwambia hizo habari labda awe mkazi wa Mbagala au Gomz aliehamia masaki!

Ila kwa mzawa wa Masaki huwezi sikia hizo habari.
Yaani mwanamke wa masaki aombe hela akafanye repair ya kioo Cha simu yake!? Huyo itakuwa ni house girl from masaki na sio boss lady
 
Ni swala la muda tuu! Hakuna mwanamkea asiyeomba hela hakuna kabisa sema wanatofautiana style za kuomba hela na kiwango cha hela!

Huyo wa masaki anaweza kukuomba umletee zawadi halafu huyo wa mbagala akakuomba elfu 30 ya wigi!

Lakini ni ukweli ulio wazi tunatakiwa kuwa na wa hadhi zetu kuepuka kulalamika lalamika kila muda.
 
Hii pia ni bahati??
Mimi wala sijali kuombwa pesa, na ninatongoza kwelikweli. Sipendi nikiwa na genye nikose utelezi.

Ukiwa na pesa, kuombwa pesa ni raha sana. Usipokua nayo kuombwa pesa ni kero.
Mr.Lucky inaonekana mtonyo kwako ni changamoto.
 
Kama Bado huna Majukumu Usipost post. Maana Nyie Ndio baada ya Kupata Majukumu Ya Kifamilia mnaishia Kuwa Na Mahasira Yasiyoisha.
 
Ni swala la muda tuu! Hakuna mwanamkea asiyeomba hela hakuna kabisa sema wanatofautiana style za kuomba hela na kiwango cha hela!

Huyo wa masaki anaweza kukuomba umletee zawadi halafu huyo wa mbagala akakuomba elfu 30 ya wigi!

Lakini ni ukweli ulio wazi tunatakiwa kuwa na wa hadhi zetu kuepuka kulalamika lalamika kila muda.

Ndio nilichomaanisha usirukie Mwanamke yeyote anayepita mbele yako
 
Hii pia ni bahati??
Mimi wala sijali kuombwa pesa, na ninatongoza kwelikweli. Sipendi nikiwa na genye nikose utelezi.

Ukiwa na pesa, kuombwa pesa ni raha sana. Usipokua nayo kuombwa pesa ni kero.
Mr.Lucky inaonekana mtonyo kwako ni changamoto.

Raha ya mwanaume ni kuhudumia pasapo kuombwa yaani ukisikia kufanya hivyo unafanya na usipojisikia tena vivyo hivyo,lkn sio ile una date na mtoza ushuru
 
Yaan unawakadira tu na kuwageiya au ww ndio unalia sn njaa kwao?
 
Yote tisa,lakini kwanini uko proud kutoombwa pesa na mwanamke?

Na kwanini asikuombe kuomba haimaanishi mtu hana ila kuna kukwama.

It seems we ni hopeless totally huna msaada wowote kwa mtu.

Mi sina ela ila natoaga ushirikiano kwa wapenzi wangu nasimamia wajibu wangu.
 
Back
Top Bottom