Mkuu mapenzi ni kufanya kama kitu cha ziada ,ile ya kupenda imepitwa na wakati maana hawa viumbe hawaelewekiDunia ya sasa banaa kwenye mahusiano
hahitaji Huruma kwa watu wanaokutendea ubaya.
Wanaume na wanawake wote saizi kila mmoja anakula Timing tu
Ukiwa Nice sanaaa. watakuvuruga.
Dawa yao ni kua usoeleweka wala kutabirika.
Ukiona haeleweki. muwahi wewe kumuacha.
Tatizo mnajipaga moyooo sana, kiasi kwamba, Wazo lakufanya maamuzi. Linakuja wakat ambao hisia zako kazitawala
Wajuba tukiona haeleweki. Unasema hiiiiiiiiiiii
Unaacha unakamatia Mwingine.
Mimi kiukweli ninawashangaa, Wanawake walivyo wengi hivi, unapata wapi nguvu za kupoteza muda kulalamikia Mwanamke?
Unapoteza muda na malaya. Shauri yako.Wakuu salama !
Ipo hivi ,nilikuwa na huyu manzi wangu ambaye tulikuwa tumepanga baada ya miezi kadhaa tuanze process za kutambulishana kwa wazazi lakini safari yetu imefika ukomo gafla ,nimependa tu kuwashirikisha kilichotokea na nimefanya maamuzi yangu ambayo naona ni sahihi.
Kwa vile tumekaa pamoja kwa kama mwaka mmoja na kila mtu ana mishe zake ila mda mwingi alikuwa anakuja kwangu na kukaa pamoja . Sasa ishu imekuja huwa yuko busy mda wote na simu kitu ambacho niliona amebadilika na pia alianza madharau kiasi kwamba wakati mwingine nimeona akae kwao maana ananiletea tu stress .
Mwezi uliyopita nilifungua laptop yangu ili niingie Facebook nikakuta amesign out ila hakuclear history kwahiyo nikiclick login moja kwa moja naingia kwenye account yake , nikaanza kusoma inbox kadhaa zote siyo mbaya ila nikawa na wasiwasi na jamaa mmoja ,maana inbox zimefuta lakini jamaa akituma msg ni Kama imeanzia katikati kumbe anazifuta ,nilikuta msg " we ni mtam tukutane tena weekend unipe tena basi".haalafu hamna jibu Wala salamu,nikaona hapa huyu manzi wangu anafuta msg . Na Mimi ikawa ndo mchezo wangu jioni nikiingia kwenye laptop Kama msg haijafunguliwa nasoma halafu nafuta ili asione msg imesomwa. Basi nikajua hapa ndo kiburi inapoanzia .
Baada ya siku mbili nikamwambia umesahau kulog out kwenye computer halafu flani ni Nani mbona msg zake sizielewi ? Akasema simfahamu ,nikamwambia Kama humu mfahamu anajuaje utam wako ? Akaniambia "aaah si unajua wanaume wanavyoshoboka simfahamu kabisa ndo maana sikumjibu .
Basi akaanza kurudisha mapenzi ya kinafki na kung'angania kurudi kulala kwangu.Tukakaa Kama week hivi ubusy ukaendelea tena mda wote Yuko busy kuchat hamna attention kwangu.
Nikaamua nitafute mtego ili kuwe na kibuti ambacho hata yeye ataona sijamsingizia.
Nikaunda account fb kwa jina la jamaa na kujifanya Kama jamaa ,halafu nikamwadd kwa kutaanguliza Salam na kumwelezea kwamba ile account nimesahau password tuchat kwenye hii mpya . Wala hakujibu,gafla nikaddiwa kwa account nyingine yenye mrembo picha na jina tofuati ,akaniambia mi ndo flani ile account jamaa yangu anaweza kusoma msg tuwe huru huku. Kwa siku mbili nikiwa nimerudi kwenye mishe basi nikiingia chumbani yeye anabaki sebuleni kwamba anaangalia movie kumbe anachat na Mimi ,kifupi jamaa anamgonga sana , nimemwomba hadi picha za utupu katuma akidhani ni jamaa.Nimempanga tukutane chimbo kesho anipe utamu.Bila shaka nitatangulia lodge nione huyu mbuzi akijitokeza nampa kibuti bila kumsemesha.
Ni kweli, Mkuu!Bora umejua hilo.
Alafu ukiwa hivo, yaan wenyewe watamiminikaaa
Mimi nakuambia, Jipe thamani tuu. Utawaona .
Utasikia wanakuambia """ Weee huyo Jinsi ulivyoo hivo, utakosa mwanamke kweli"""".
Mwanamke akiona you don't care ndo anakuganda ila ukilia lia atakulelekesha sanaHaeleweki... Just mtemeee... Kamatia Mwanamke mwingine.
Haeleweki na kakutendea unyama wa kushusha uanaume..... Mlipizie alafu Mteme.....kwenye kulipiza unaweza jifanya hata bwegez mjingaaa, boyaa zobaaa, akiingia 18 zako tu, unamlipuaaa
Yaan hiyo inamuacha na uchunguuuu hata yeye mwenyewe anajiona hiiiiiiiiiiiii nmeliwa kekundu
Ni wa ajabu sana hawa viumbe, ukilegea utapelekeshwa kwa mwendo wa mateka.Mwanamke akiona you don't care ndo anakuganda ila ukilia lia atakulelekesha sana
Pole sana kakaKilichonishtua zaidi kutuma picha ya utupu nikaona huyu amekubuhu kabisa,aisee Mungu ameniepusha na balaa
Kuna jamaa humu huwa anauliza "hao wanawake wa aina hiyo hivi huwa mnawatoa wapi
Pole sana mkuu , daah! Mliopata wanaowapenda kwa dhati hongereni sana.Wakuu salama !
Ipo hivi ,nilikuwa na huyu manzi wangu ambaye tulikuwa tumepanga baada ya miezi kadhaa tuanze process za kutambulishana kwa wazazi lakini safari yetu imefika ukomo gafla ,nimependa tu kuwashirikisha kilichotokea na nimefanya maamuzi yangu ambayo naona ni sahihi.
Kwa vile tumekaa pamoja kwa kama mwaka mmoja na kila mtu ana mishe zake ila mda mwingi alikuwa anakuja kwangu na kukaa pamoja . Sasa ishu imekuja huwa yuko busy mda wote na simu kitu ambacho niliona amebadilika na pia alianza madharau kiasi kwamba wakati mwingine nimeona akae kwao maana ananiletea tu stress .
Mwezi uliyopita nilifungua laptop yangu ili niingie Facebook nikakuta amesign out ila hakuclear history kwahiyo nikiclick login moja kwa moja naingia kwenye account yake , nikaanza kusoma inbox kadhaa zote siyo mbaya ila nikawa na wasiwasi na jamaa mmoja ,maana inbox zimefuta lakini jamaa akituma msg ni Kama imeanzia katikati kumbe anazifuta ,nilikuta msg " we ni mtam tukutane tena weekend unipe tena basi".haalafu hamna jibu Wala salamu,nikaona hapa huyu manzi wangu anafuta msg . Na Mimi ikawa ndo mchezo wangu jioni nikiingia kwenye laptop Kama msg haijafunguliwa nasoma halafu nafuta ili asione msg imesomwa. Basi nikajua hapa ndo kiburi inapoanzia .
Baada ya siku mbili nikamwambia umesahau kulog out kwenye computer halafu flani ni Nani mbona msg zake sizielewi ? Akasema simfahamu ,nikamwambia Kama humu mfahamu anajuaje utam wako ? Akaniambia "aaah si unajua wanaume wanavyoshoboka simfahamu kabisa ndo maana sikumjibu .
Basi akaanza kurudisha mapenzi ya kinafki na kung'angania kurudi kulala kwangu.Tukakaa Kama week hivi ubusy ukaendelea tena mda wote Yuko busy kuchat hamna attention kwangu.
Nikaamua nitafute mtego ili kuwe na kibuti ambacho hata yeye ataona sijamsingizia.
Nikaunda account fb kwa jina la jamaa na kujifanya Kama jamaa ,halafu nikamwadd kwa kutaanguliza Salam na kumwelezea kwamba ile account nimesahau password tuchat kwenye hii mpya . Wala hakujibu,gafla nikaddiwa kwa account nyingine yenye mrembo picha na jina tofuati ,akaniambia mi ndo flani ile account jamaa yangu anaweza kusoma msg tuwe huru huku. Kwa siku mbili nikiwa nimerudi kwenye mishe basi nikiingia chumbani yeye anabaki sebuleni kwamba anaangalia movie kumbe anachat na Mimi ,kifupi jamaa anamgonga sana , nimemwomba hadi picha za utupu katuma akidhani ni jamaa.Nimempanga tukutane chimbo kesho anipe utamu.Bila shaka nitatangulia lodge nione huyu mbuzi akijitokeza nampa kibuti bila kumsemesha.
Ukipenda huoni mkuu, shida kupenda kakaDunia ya sasa banaa kwenye mahusiano
hahitaji Huruma kwa watu wanaokutendea ubaya.
Wanaume na wanawake wote saizi kila mmoja anakula Timing tu
Ukiwa Nice sanaaa. watakuvuruga.
Dawa yao ni kua usoeleweka wala kutabirika.
Ukiona haeleweki. muwahi wewe kumuacha.
Tatizo mnajipaga moyooo sana, kiasi kwamba, Wazo lakufanya maamuzi. Linakuja wakat ambao hisia zako kazitawala
Wajuba tukiona haeleweki. Unasema hiiiiiiiiiiii
Unaacha unakamatia Mwingine.
Mimi kiukweli ninawashangaa, Wanawake walivyo wengi hivi, unapata wapi nguvu za kupoteza muda kulalamikia Mwanamke?
Sio kwamba usipo mpa care na kuonesha kumpenda ndiyo atakukimbia, maana kumbuka inbox na kitaa Wana kibao Wana msalandia!?Mwanamke akiona you don't care ndo anakuganda ila ukilia lia atakulelekesha sana
Umeipiga kimajati sana.Wakuu salama !
Ipo hivi ,nilikuwa na huyu manzi wangu ambaye tulikuwa tumepanga baada ya miezi kadhaa tuanze process za kutambulishana kwa wazazi lakini safari yetu imefika ukomo gafla ,nimependa tu kuwashirikisha kilichotokea na nimefanya maamuzi yangu ambayo naona ni sahihi.
Kwa vile tumekaa pamoja kwa kama mwaka mmoja na kila mtu ana mishe zake ila mda mwingi alikuwa anakuja kwangu na kukaa pamoja . Sasa ishu imekuja huwa yuko busy mda wote na simu kitu ambacho niliona amebadilika na pia alianza madharau kiasi kwamba wakati mwingine nimeona akae kwao maana ananiletea tu stress .
Mwezi uliyopita nilifungua laptop yangu ili niingie Facebook nikakuta amesign out ila hakuclear history kwahiyo nikiclick login moja kwa moja naingia kwenye account yake , nikaanza kusoma inbox kadhaa zote siyo mbaya ila nikawa na wasiwasi na jamaa mmoja ,maana inbox zimefuta lakini jamaa akituma msg ni Kama imeanzia katikati kumbe anazifuta ,nilikuta msg " we ni mtam tukutane tena weekend unipe tena basi".haalafu hamna jibu Wala salamu,nikaona hapa huyu manzi wangu anafuta msg . Na Mimi ikawa ndo mchezo wangu jioni nikiingia kwenye laptop Kama msg haijafunguliwa nasoma halafu nafuta ili asione msg imesomwa. Basi nikajua hapa ndo kiburi inapoanzia .
Baada ya siku mbili nikamwambia umesahau kulog out kwenye computer halafu flani ni Nani mbona msg zake sizielewi ? Akasema simfahamu ,nikamwambia Kama humu mfahamu anajuaje utam wako ? Akaniambia "aaah si unajua wanaume wanavyoshoboka simfahamu kabisa ndo maana sikumjibu .
Basi akaanza kurudisha mapenzi ya kinafki na kung'angania kurudi kulala kwangu.Tukakaa Kama week hivi ubusy ukaendelea tena mda wote Yuko busy kuchat hamna attention kwangu.
Nikaamua nitafute mtego ili kuwe na kibuti ambacho hata yeye ataona sijamsingizia.
Nikaunda account fb kwa jina la jamaa na kujifanya Kama jamaa ,halafu nikamwadd kwa kutaanguliza Salam na kumwelezea kwamba ile account nimesahau password tuchat kwenye hii mpya . Wala hakujibu,gafla nikaddiwa kwa account nyingine yenye mrembo picha na jina tofuati ,akaniambia mi ndo flani ile account jamaa yangu anaweza kusoma msg tuwe huru huku. Kwa siku mbili nikiwa nimerudi kwenye mishe basi nikiingia chumbani yeye anabaki sebuleni kwamba anaangalia movie kumbe anachat na Mimi ,kifupi jamaa anamgonga sana , nimemwomba hadi picha za utupu katuma akidhani ni jamaa.Nimempanga tukutane chimbo kesho anipe utamu.Bila shaka nitatangulia lodge nione huyu mbuzi akijitokeza nampa kibuti bila kumsemesha.