Nimempa kibuti rasmi

Dunia ya sasa banaa kwenye mahusiano

hahitaji Huruma kwa watu wanaokutendea ubaya.

Wanaume na wanawake wote saizi kila mmoja anakula Timing tu




Ukiwa Nice sanaaa. watakuvuruga.

Dawa yao ni kua usoeleweka wala kutabirika.



Ukiona haeleweki. muwahi wewe kumuacha.


Tatizo mnajipaga moyooo sana, kiasi kwamba, Wazo lakufanya maamuzi. Linakuja wakat ambao hisia zako kazitawala


Wajuba tukiona haeleweki. Unasema hiiiiiiiiiiii


Unaacha unakamatia Mwingine.

Mimi kiukweli ninawashangaa, Wanawake walivyo wengi hivi, unapata wapi nguvu za kupoteza muda kulalamikia Mwanamke?
Mkuu mapenzi ni kufanya kama kitu cha ziada ,ile ya kupenda imepitwa na wakati maana hawa viumbe hawaeleweki
 
Wakuu salama !

Ipo hivi ,nilikuwa na huyu manzi wangu ambaye tulikuwa tumepanga baada ya miezi kadhaa tuanze process za kutambulishana kwa wazazi lakini safari yetu imefika ukomo gafla ,nimependa tu kuwashirikisha kilichotokea na nimefanya maamuzi yangu ambayo naona ni sahihi.


Kwa vile tumekaa pamoja kwa kama mwaka mmoja na kila mtu ana mishe zake ila mda mwingi alikuwa anakuja kwangu na kukaa pamoja . Sasa ishu imekuja huwa yuko busy mda wote na simu kitu ambacho niliona amebadilika na pia alianza madharau kiasi kwamba wakati mwingine nimeona akae kwao maana ananiletea tu stress .

Mwezi uliyopita nilifungua laptop yangu ili niingie Facebook nikakuta amesign out ila hakuclear history kwahiyo nikiclick login moja kwa moja naingia kwenye account yake , nikaanza kusoma inbox kadhaa zote siyo mbaya ila nikawa na wasiwasi na jamaa mmoja ,maana inbox zimefuta lakini jamaa akituma msg ni Kama imeanzia katikati kumbe anazifuta ,nilikuta msg " we ni mtam tukutane tena weekend unipe tena basi".haalafu hamna jibu Wala salamu,nikaona hapa huyu manzi wangu anafuta msg . Na Mimi ikawa ndo mchezo wangu jioni nikiingia kwenye laptop Kama msg haijafunguliwa nasoma halafu nafuta ili asione msg imesomwa. Basi nikajua hapa ndo kiburi inapoanzia .
Baada ya siku mbili nikamwambia umesahau kulog out kwenye computer halafu flani ni Nani mbona msg zake sizielewi ? Akasema simfahamu ,nikamwambia Kama humu mfahamu anajuaje utam wako ? Akaniambia "aaah si unajua wanaume wanavyoshoboka simfahamu kabisa ndo maana sikumjibu .

Basi akaanza kurudisha mapenzi ya kinafki na kung'angania kurudi kulala kwangu.Tukakaa Kama week hivi ubusy ukaendelea tena mda wote Yuko busy kuchat hamna attention kwangu.

Nikaamua nitafute mtego ili kuwe na kibuti ambacho hata yeye ataona sijamsingizia.

Nikaunda account fb kwa jina la jamaa na kujifanya Kama jamaa ,halafu nikamwadd kwa kutaanguliza Salam na kumwelezea kwamba ile account nimesahau password tuchat kwenye hii mpya . Wala hakujibu,gafla nikaddiwa kwa account nyingine yenye mrembo picha na jina tofuati ,akaniambia mi ndo flani ile account jamaa yangu anaweza kusoma msg tuwe huru huku. Kwa siku mbili nikiwa nimerudi kwenye mishe basi nikiingia chumbani yeye anabaki sebuleni kwamba anaangalia movie kumbe anachat na Mimi ,kifupi jamaa anamgonga sana , nimemwomba hadi picha za utupu katuma akidhani ni jamaa.Nimempanga tukutane chimbo kesho anipe utamu.Bila shaka nitatangulia lodge nione huyu mbuzi akijitokeza nampa kibuti bila kumsemesha.
Unapoteza muda na malaya. Shauri yako.
 
Bora umejua hilo.


Alafu ukiwa hivo, yaan wenyewe watamiminikaaa


Mimi nakuambia, Jipe thamani tuu. Utawaona .


Utasikia wanakuambia """ Weee huyo Jinsi ulivyoo hivo, utakosa mwanamke kweli"""".
Ni kweli, Mkuu!
Ukionyesha tu kuwajali na kuwathamini wanakutesa sana unaweza fikia kukumbuka hata jina nduguyo hayati la utotoni.

Walinitesa sana hawa viumbe kabla sijafahamu kuitumia AKILI ile ya 1PETRO 3:7

Dawa ni kuwatongoza wengi kadri uwezavyo ili usiwe na mmoja anayejijua kwamba yuko mwenyewe, Maana akijua yuko peke anaanza kuleta nyoko nyoko.

Nawatongoza tu wakikubali nawapotezea, Navunga halafu baadaye utasikia we kaka mbona hukurudi? mbona hunipigii simu siku hizi?
 
Haeleweki... Just mtemeee... Kamatia Mwanamke mwingine.


Haeleweki na kakutendea unyama wa kushusha uanaume..... Mlipizie alafu Mteme.....kwenye kulipiza unaweza jifanya hata bwegez mjingaaa, boyaa zobaaa, akiingia 18 zako tu, unamlipuaaa

Yaan hiyo inamuacha na uchunguuuu hata yeye mwenyewe anajiona hiiiiiiiiiiiii nmeliwa kekundu
Mwanamke akiona you don't care ndo anakuganda ila ukilia lia atakulelekesha sana
 
Wakuu salama !

Ipo hivi ,nilikuwa na huyu manzi wangu ambaye tulikuwa tumepanga baada ya miezi kadhaa tuanze process za kutambulishana kwa wazazi lakini safari yetu imefika ukomo gafla ,nimependa tu kuwashirikisha kilichotokea na nimefanya maamuzi yangu ambayo naona ni sahihi.


Kwa vile tumekaa pamoja kwa kama mwaka mmoja na kila mtu ana mishe zake ila mda mwingi alikuwa anakuja kwangu na kukaa pamoja . Sasa ishu imekuja huwa yuko busy mda wote na simu kitu ambacho niliona amebadilika na pia alianza madharau kiasi kwamba wakati mwingine nimeona akae kwao maana ananiletea tu stress .

Mwezi uliyopita nilifungua laptop yangu ili niingie Facebook nikakuta amesign out ila hakuclear history kwahiyo nikiclick login moja kwa moja naingia kwenye account yake , nikaanza kusoma inbox kadhaa zote siyo mbaya ila nikawa na wasiwasi na jamaa mmoja ,maana inbox zimefuta lakini jamaa akituma msg ni Kama imeanzia katikati kumbe anazifuta ,nilikuta msg " we ni mtam tukutane tena weekend unipe tena basi".haalafu hamna jibu Wala salamu,nikaona hapa huyu manzi wangu anafuta msg . Na Mimi ikawa ndo mchezo wangu jioni nikiingia kwenye laptop Kama msg haijafunguliwa nasoma halafu nafuta ili asione msg imesomwa. Basi nikajua hapa ndo kiburi inapoanzia .
Baada ya siku mbili nikamwambia umesahau kulog out kwenye computer halafu flani ni Nani mbona msg zake sizielewi ? Akasema simfahamu ,nikamwambia Kama humu mfahamu anajuaje utam wako ? Akaniambia "aaah si unajua wanaume wanavyoshoboka simfahamu kabisa ndo maana sikumjibu .

Basi akaanza kurudisha mapenzi ya kinafki na kung'angania kurudi kulala kwangu.Tukakaa Kama week hivi ubusy ukaendelea tena mda wote Yuko busy kuchat hamna attention kwangu.

Nikaamua nitafute mtego ili kuwe na kibuti ambacho hata yeye ataona sijamsingizia.

Nikaunda account fb kwa jina la jamaa na kujifanya Kama jamaa ,halafu nikamwadd kwa kutaanguliza Salam na kumwelezea kwamba ile account nimesahau password tuchat kwenye hii mpya . Wala hakujibu,gafla nikaddiwa kwa account nyingine yenye mrembo picha na jina tofuati ,akaniambia mi ndo flani ile account jamaa yangu anaweza kusoma msg tuwe huru huku. Kwa siku mbili nikiwa nimerudi kwenye mishe basi nikiingia chumbani yeye anabaki sebuleni kwamba anaangalia movie kumbe anachat na Mimi ,kifupi jamaa anamgonga sana , nimemwomba hadi picha za utupu katuma akidhani ni jamaa.Nimempanga tukutane chimbo kesho anipe utamu.Bila shaka nitatangulia lodge nione huyu mbuzi akijitokeza nampa kibuti bila kumsemesha.
Pole sana mkuu , daah! Mliopata wanaowapenda kwa dhati hongereni sana.
 
Dunia ya sasa banaa kwenye mahusiano

hahitaji Huruma kwa watu wanaokutendea ubaya.

Wanaume na wanawake wote saizi kila mmoja anakula Timing tu




Ukiwa Nice sanaaa. watakuvuruga.

Dawa yao ni kua usoeleweka wala kutabirika.



Ukiona haeleweki. muwahi wewe kumuacha.


Tatizo mnajipaga moyooo sana, kiasi kwamba, Wazo lakufanya maamuzi. Linakuja wakat ambao hisia zako kazitawala


Wajuba tukiona haeleweki. Unasema hiiiiiiiiiiii


Unaacha unakamatia Mwingine.

Mimi kiukweli ninawashangaa, Wanawake walivyo wengi hivi, unapata wapi nguvu za kupoteza muda kulalamikia Mwanamke?
Ukipenda huoni mkuu, shida kupenda kaka
 
Mwanamke akiona you don't care ndo anakuganda ila ukilia lia atakulelekesha sana
Sio kwamba usipo mpa care na kuonesha kumpenda ndiyo atakukimbia, maana kumbuka inbox na kitaa Wana kibao Wana msalandia!?
 
Wakuu salama !

Ipo hivi ,nilikuwa na huyu manzi wangu ambaye tulikuwa tumepanga baada ya miezi kadhaa tuanze process za kutambulishana kwa wazazi lakini safari yetu imefika ukomo gafla ,nimependa tu kuwashirikisha kilichotokea na nimefanya maamuzi yangu ambayo naona ni sahihi.


Kwa vile tumekaa pamoja kwa kama mwaka mmoja na kila mtu ana mishe zake ila mda mwingi alikuwa anakuja kwangu na kukaa pamoja . Sasa ishu imekuja huwa yuko busy mda wote na simu kitu ambacho niliona amebadilika na pia alianza madharau kiasi kwamba wakati mwingine nimeona akae kwao maana ananiletea tu stress .

Mwezi uliyopita nilifungua laptop yangu ili niingie Facebook nikakuta amesign out ila hakuclear history kwahiyo nikiclick login moja kwa moja naingia kwenye account yake , nikaanza kusoma inbox kadhaa zote siyo mbaya ila nikawa na wasiwasi na jamaa mmoja ,maana inbox zimefuta lakini jamaa akituma msg ni Kama imeanzia katikati kumbe anazifuta ,nilikuta msg " we ni mtam tukutane tena weekend unipe tena basi".haalafu hamna jibu Wala salamu,nikaona hapa huyu manzi wangu anafuta msg . Na Mimi ikawa ndo mchezo wangu jioni nikiingia kwenye laptop Kama msg haijafunguliwa nasoma halafu nafuta ili asione msg imesomwa. Basi nikajua hapa ndo kiburi inapoanzia .
Baada ya siku mbili nikamwambia umesahau kulog out kwenye computer halafu flani ni Nani mbona msg zake sizielewi ? Akasema simfahamu ,nikamwambia Kama humu mfahamu anajuaje utam wako ? Akaniambia "aaah si unajua wanaume wanavyoshoboka simfahamu kabisa ndo maana sikumjibu .

Basi akaanza kurudisha mapenzi ya kinafki na kung'angania kurudi kulala kwangu.Tukakaa Kama week hivi ubusy ukaendelea tena mda wote Yuko busy kuchat hamna attention kwangu.

Nikaamua nitafute mtego ili kuwe na kibuti ambacho hata yeye ataona sijamsingizia.

Nikaunda account fb kwa jina la jamaa na kujifanya Kama jamaa ,halafu nikamwadd kwa kutaanguliza Salam na kumwelezea kwamba ile account nimesahau password tuchat kwenye hii mpya . Wala hakujibu,gafla nikaddiwa kwa account nyingine yenye mrembo picha na jina tofuati ,akaniambia mi ndo flani ile account jamaa yangu anaweza kusoma msg tuwe huru huku. Kwa siku mbili nikiwa nimerudi kwenye mishe basi nikiingia chumbani yeye anabaki sebuleni kwamba anaangalia movie kumbe anachat na Mimi ,kifupi jamaa anamgonga sana , nimemwomba hadi picha za utupu katuma akidhani ni jamaa.Nimempanga tukutane chimbo kesho anipe utamu.Bila shaka nitatangulia lodge nione huyu mbuzi akijitokeza nampa kibuti bila kumsemesha.
Umeipiga kimajati sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom