Habari za J2 wakuu,
Leo nimeona niulize tu maana mimi nimeshindwa kupata majibu, kama kichwa cha habari kinavo jieleza, nina mwenza ambaye ni wa muda sasa hua tukimisiana anakuja nitembelea tunafanya yetu, mwanzoni nakumbuka nilikua naenda round 1 mpaka 3 yeye anakua kaenda za kutosha tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.