Recent content by Masuo

  1. Masuo

    Nyota wa Serengeti boys apimwa matumizi ya dawa za kusisimua misuli

    CUF ipi sasa!? Ya Lipumba au ya Seif?
  2. Masuo

    UN Security Council votes against Israeli settlements

    Israel ndio ruling state (super power)
  3. Masuo

    Pendekezo: Tanzania na DRC Congo ziungane kuwa nchi moja

    Si wazo baya lkn si rahisi kama unavyodhani.
  4. Masuo

    Kufunga Barabara kwa shughuli binafsi

    hakuna kibali kisichokua ma muda maalum, unategemea maombi yako
  5. Masuo

    Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

    Yaa rrabi mpe makazi mema peponi
  6. Masuo

    Naomba Tutambuane Wakazi Wa Mwanza Wanaoishi Dar Es Salaam Sasa

    "wakazi wa mwanza wanaoishi dar" kiswahili gani hiki? Mi sijaelewa
  7. Masuo

    Ukisifiwa sana kazini ujue unaumizwa

    Hili ni tatizo kubwa sana kwetu wa tz, tunaanza kufikiria maslahi mazuri bila ya kujua njia nzuri na sahihi ya kuyafikia hayo maslahi, tufanyeni kazi kwa bidii jamani, mwanzo utasifiwa na kisha utapata hayo maslahi unayo yataka
  8. Masuo

    Kufukuzwa kazi kwa sababu za ubaguzi wa kidini

    Tembele ni mboga nzuri kwa kuliwa
  9. Masuo

    Hali ni mbaya sana ya mungano.

    Wewe unastahili kuitwa kolokoloni, mimi si muumini wa muungano, lkn hoja zako ni za kipuuzi, suala la kununua vyakula na bidhaa nyingine ni la kibiashara, si lazima wanunue kutoka kwetu tanganyika, wanaweza kuagiza kutoka china, india, na kwingineko ambako ni rahisi zaidi
  10. Masuo

    Wajumbe feki wa bunge la katiba hawa hapa

    Hii ya kingunge na NGO inatisha
  11. Masuo

    Tukitoa lift tuwe makini sana uwii

    wacha kutuzingua
  12. Masuo

    Lini Viwanja vinavyomilikiwa na CCM vitakuwa chini ya umiliki wa Serikali Kuu au Halmashauri husika?

    vilijengwa kwa hali na mali za wananchi, vipato vilikua chini lkn ari ilikua juu
  13. Masuo

    Upi utamaduni wa kabila lenu?

    mifano mingi au yote uliyotoa (ispokua huo mmoja wa wachaga) haina uhusiano na makabila, kisha swali lako ukalielekeza ktk makabila!? Una lako jambo
  14. Masuo

    Upi utamaduni wa kabila lenu?

    mifano mingi au yote uliyotoa (ispokua huo mmoja wa wachaga) haina uhusiano na makabila, kisha swali lako ukalielekeza ktk makabila! Nadhani si vibaya na majibu yakawa katika mtindo huohuo. 1) uchaguzi kila baada ya miaka mitano
  15. Masuo

    Swali. Hivi ndege sheli zake za mafuta zipo wap?

    tusishangae ya sheli tu, kuna ya siagi zote kuitwa blue band, chewing gum zote kuitwa Big G,
Back
Top Bottom