Wewe unastahili kuitwa kolokoloni, mimi si muumini wa muungano, lkn hoja zako ni za kipuuzi, suala la kununua vyakula na bidhaa nyingine ni la kibiashara, si lazima wanunue kutoka kwetu tanganyika, wanaweza kuagiza kutoka china, india, na kwingineko ambako ni rahisi zaidi