Recent content by masumbwe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Makala: Buriani Komredi Mawazo, Mpe Hongera Zangu Ken Saro-Wiwa

    Ben maneno yako ni ya msingi sana hasa kwa watu wanaopigania haki za wanyonge kama kamanda mawazo, yote uliyoyaeleza ni ya kweli nimemfahamu sana na nimejifunza mengi kwake.Naamini ipo siku yote yatakwisha
  2. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

    Nakushauri Le mutuz kasome kitu kinaitwa critical thinking kitakusaidia kuelewa mambo na kupost vitu vyenye mashiko
  3. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila afungua kesi Mahakama kuu, kutetewa na Tundu Lissu

    hana kumbukumbu huyo ndo maana anakuja na majibu mepesi kwa maswali magumu, wakati mwingine najiuliza jf kuna watu ambao hawana falsafa yetu ya great thinkers yaani yapo yapo tu
  4. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

    RIP kamanda mawazo kama hukuwatendea jambo baya basi naamini damu yako itakuwa juu yao na hata kama kuna baya hukumu hiyo haikuwa sahihi.hofu yangu sijui kama waliofanya hivyo watakamatwa hatukona hivyo kwa kina kiwia na machemli mh sijui
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nani kampa Lowassa Cheo cha 'Kiongozi Mkuu wa UKAWA'?

    mleta mada unafikiri kwa kutimia nywele
  6. M

    JamiiForums Tanzania Dr. Tulia Ackson, nani amekutuma? Unataka nini? Kwanini?

    hapo umenena hakika
  7. M

    JamiiForums Tanzania Dr. Tulia Ackson, nani amekutuma? Unataka nini? Kwanini?

    kaka kula like
  8. M

    JamiiForums Tanzania Awamu ya tano: Shauri nini kifanyike katika kuboresha Elimu

    mtoa mada nakuunga mkono japo umeandika stori ndeefu you could summarize it into simple statements. maoni yangu idara ya ukaguzi wa shule iboreshwe wapewe vitendea kazi na serikali kupitia WEMU wawape wakaguzi wakuu stahili waliyowaahidi siyo blabla tu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

    Nafikiri hujui falsafa za jeshi ndo maana unasema wale ni sisimizi.Pia nafikiri rais wetu angemaliza kwanza matatizo ya ndani ndipo aangalie ya wenzetu
  10. M

    JamiiForums Tanzania THE FALL OF CHADEMA - Vyombo vya habari vimeanza kususia Siasa za CHADEMA, Jiulizeni!

    Kwa mtu makini nina imani anatakiwa kuzungumza akiwa amefanya analysis ya kutosha ndo maana jukwaa hili linaitwa forum of GT, nikushauri tu ndugu unapopost kitu humu jiridhishe kwanza kwa kufanya analysis ya kutosha si kuandika ili uonekane unajaza post au na wewe huwa unatupia post.Kumbuka...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mwanzo wa mwisho wa dhana ya polisi jamii na ulinzi shirikishi

    Wana jf Katika miaka ya hivi karibuni jeshi la polisi lilianzisha dhana hizi kwa lengo la kuwashirikisha wananchi katika suala la ulinzi na kwa kiasi kikubwa jeshi hili limefanikiwa kutekeleza majukumu mengi kwa kushirikiana na wananchi kupitia mipango hii. Lakini kadri siku zinavyokwenda naona...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Bungeni: Wabunge (CHADEMA) hawatashiriki kupiga kura ya bajeti kuu!

    Mkuu anafanya haraka ili awe na post nyingi kwa ajili ya malipo ili hesabu iwe kubwa
  13. M

    JamiiForums Tanzania CCM walisambaza tamko la mtikila

    wagumala nkoyi umu ukubhona mingii ne ya bhulomolomo ne ya nh'hana ila dugushika duhu tujagi
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

    Wale wa Lumumba waje wakanushe
  15. M

    JamiiForums Tanzania Exclusive: CHADEMA yafichua mbinu za kukiua chama - June 23, 2013

    Hata sisi tunaichukia sana kijani
Back
Top Bottom