Nani kakudanganya unajaribu kupima kina cha maji kwa miguu miwili ee.Kifo cha Nyerere ndo kilikuwa kifo cha ccm, wajanja wachache ndo tulielewa hilo. Wajinga wengi hata leo hawajaelewa kinachoendelea ndani ya jeneza la ccm. Mtaelewa tu siku ikifika.
Kwa nini Rais anasita kuunda tume huru ya kimahakama kuchunguza matukio hayo ya mauaji?Kama hujui kama nyie ni wauaji henry kileo yuko wapi?
ni lazima useme hivyo unafikiri utasemaje sasa mkuu???? Sababu ccm hata ukweli ambao upo wazi kabisa huwa mnatafuta njia za kuupotosha tena kwa nguvu nyingi sana.porojo tu hizi, eti china, watz kwa kupotoshana hatujambo, yaani huyu bwana kiapo chake kimeunganisha matukio tu ambayo anayasoma kwenye magazeti, bure kabisa
good good
Kujilinda na bastola ni ugaidi vipi?
Bwana koplo inaonyesha ni jinsi gani kichwa chako kilivyo kitupu, mtu akiamua kutoa yake ya moyoni huwezi kumfundisha wakati,mahali,stuation gani imupelekee kusema kinachomkera, haidhuru labda hali hiyo itamupekea kwenye umauti au la, kaona haki inaminywa waziwazi iweje aendelee kukaa kimya na roho yake inamusuta mbele za Mwenyezi Mungu na mbele ya haki.Wacha mtu huyu aseme mwenyezi Mungu ndo muumba wake anajua atakavyomulinda dhidi ya dhuruma ya watu na viongozi dharimu ndani ya CCM.
Haleluya!!!!
Kweli CCM inazidi kuumbuka. Wengi tu watajitokeza kuwaanika, maana wengine nafsi zinawahukumu.