Huyo jamaa ameuliza swali la msingi sn. hoja hujibiwa kwa hoja sio kejeli wala matusi. Tunasema Dodoma ni katikati ya Tz Je hapo hoja ya Uduara wa dunia haupo? Nikueleze tu Hata kwenye hesabu huwa tunatafuta eneo / mzingo wa duara. kwa hiyo ukichukua eneo la ukubwa mzingo wa dunia, ukagawanya...
Asante sana Kiongozi kwa elimu kubwa hii ya ujasiriamali. binafsi ninapenda kuwa mmoja wa watu wanaohitaji kushiriki kwenye semina na kupata mafunzo juu ya hii biashara (Forex Trading). Sijui kama unaweza chukua hii post / request kuwa kama official au nitaomba unipe mwongozo wa namna ya...
Habari ya saa hizi wana JF. Samahani naombeni msaada, Eternal Hard Disk yangu (Transcend 500 GB) Inaandika Format kila nikiichomeka kwenye PC. ndani ina data zangu nyingi sana muhimu. Nimejaribu kuiweka kwenye computer mbalimbali bado kila nikiiweka kabla ya kufunguka inaleta msg kuwa natakiwa...
Sasa mbona unajikanyaga mwenyewe? Unadiriki Kumwita Mwanasheria bora Afrika Mashariki halafu unajikana unaita mwanasheria uchwara. au Unajaribu kushawishi watu kuukana ukweli ambao hata ww unaoufahamu?
Nadhani waliopata mishahara ni watumishi wa Halmashauri.
mimi nipo kwa katibu katibu mkuu nimecheki bado ila nimeangalia kwa wife wamemuwekea. pia nilipanda daraja la mshahara mwezi april mey nikapata salary mpya. hapa nahisi joto limepanda maana hiyo hela nimeshaipigia mahesabu
Habari yenu ndg wa jukwaa hili. Jamani anombeni sn msaada kwa wenye ufahamu juu ya namna ya kupata history ya kazi zote zilizofanywa ktk photocopy mashine. Yaani kujua idadi ya copy pages and printings kwa siku. Natumia canon Ir 2202. Pia ninamshine nyingine aina ya Hp deskjet na Hp 127. Msaada...
Ili uweze kupata Line ya uwakala Tigo Pesa, unatakiwa uwe na TIN Number, Leseni ya Biashara na Kitamburisho chako chochote Mf. Voter's ID. Kisha uwe na kiwango chochote cha pesa ya kuanzia (Float).
Kiukweli inakera bro..ila usiache kabisa kwenda kupiga kura. Kura yako inathamani sn. Mimi nipo safarini nakwenda Mkoani nilikojiandikishia. Piga kura tuondoe udharimu huo pamoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.