Mwizi tuu huyo, na ni bonge la jipu linalohitaji mtumbuzi. Deal zake zote na serikali ni viini macho na maigizo, kuanzia Ubungo plaza, Quality Mall na zinginezo
Wengi walio nunua hivi viwanja walifanya hivyo wakijua sio sahihi, nani hasiyejua open space au chanzo cha Maji au ukingo wa mto, au njia ya Maji ya msimu.
Hajabana matumizi, ila anafanya vitu kutokana na vipaumbele, badala ya kwenda Ulaya vacation, unanunua dawa za wagonjwa au unasomesha watt wa maskini nk nk. Ni sawa na mzazi huwezi chukua hela kwenda kutanulia wakati nyumbani kuna dhiki kibao,
Rocket sio ndege ni ile inayotumika kurusha vitu vinavyoenda anga za juu, uwa unaenda mpaka kile kifaa kifike kwny eneo la hewa ya uvutano halafu yenyewe uwa Mara nyingi inasambaratika na kuanhukia baharini au jangwani
Ndio maana sehemu za kurusha ni pembeni mwa baharini au jangwani
Unajua Wabongo mtu akiwa na vijisent kidogo anaanzisha madharau, sasa ukute ana uhusiano na mkubwa fulani ndio inakuwa jeuri mara 100, kwa hiyo ww bosi unaweza sema hapana wala hatojali, si ajabu wengine wanaendaga hata kabla ya kupewa likizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.