Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,324
- 152,136
Kumekuwepo na madai/tuhuma kuwa baadhi ya watumishi wa serikali ndio walitoa vibali vya ujenzi kwa watu waliojenga katika maeneo yasiyoruhusiwa na zaidi serikali ilikuwa inapokea kodi ya majengo kutoka wananchi waliokuwa wanamiliki nyumba hizo.
Kama kweli waliotoa vibali ni watumishi wa serikali,kwanini serikali isishitakiwe mahakamani na kutakiwa kulipa wananchi fidia kutokana na makosa ya watumishi wake?
Sitaki kuamini kama kila aliejenga katika eneo lisiloruhusiwa alihonga bali huenda kuna ambao hawakupewa taarifa sahihi.
Wanasheria na Watetezi wa haki za binadamu mbona mpo kimya kiasi hiki?!
Kama kweli waliotoa vibali ni watumishi wa serikali,kwanini serikali isishitakiwe mahakamani na kutakiwa kulipa wananchi fidia kutokana na makosa ya watumishi wake?
Sitaki kuamini kama kila aliejenga katika eneo lisiloruhusiwa alihonga bali huenda kuna ambao hawakupewa taarifa sahihi.
Wanasheria na Watetezi wa haki za binadamu mbona mpo kimya kiasi hiki?!