Recent content by masikinitajiri

  1. masikinitajiri

    Believe it or not men are every where!

    Men can stand alone but for women it is impossible. Without he no she
  2. masikinitajiri

    Naomba mwenye kitabu cha Principles of Physics for class XI, S Chand

    Huwezi kupata mtandaoni complete soft copy ya Principles of Physics published by S. Chand. Tafuta New Simplified Physics ni kizuri sana kuliko hata hiyo Chand. Electronics ongezea na kitabu cha Advanced Physics by Tom Duncan Mechanics tafuta kitabu cha Understanding Mechanics by DC Pandey
  3. masikinitajiri

    Sitoisahau paper ya advanced mathematics 2013

    Huyo TO nilisoma naye O-level Bwiru Boys Technical School. Alikuwa mbele yangu kwa vidato viwili, form 4 yake 2010 alipata div I of 10 points na alikuwa na A ya Engineering Science, Chemistry, Mathematics na Electrical Engineering Science, B ya Biology, Electronics, Radio repair & TV Servicing...
  4. masikinitajiri

    Hawa SME ni akina nani?

    SME means Shared Medical Equipments. Wanajihusisha na uwekezaji wa vifaa tiba hospitalin. Jina la kampuni ni YESCOM GENERAL TRADING LTD
  5. masikinitajiri

    Wapi wanauza niqab kwa jumla hapa Dar

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  6. masikinitajiri

    Serikali ipitishe sheria hijab na kanzu yawe mavazi ya utambulisho wa taifa

    Hijabu sio vazi la kiislamu wala la dini yoyote, na wala hakuna dini inayomruhusu mwanamke kujiachia si uislamu wala ukristo. Dini zote hizi zinamtaka mwanamke ajisitiri kuanzia kichwan, yan asikiache kichwa chake wazi. Tofauti kati ya dini hizi ni kuwa uislamu umesisitiza na umetilia mkazo zaid...
  7. masikinitajiri

    UMAR Ibn Al-Khattab na Paul (SAUL wa Tarso): Mashujaa wa imani mbili Kinzani...

    Watu wamekosa points na hoja za kupinga haya niliyoyasema hapa kwenye link hii kuhusu utume wa Paulo na utata wake. Wanatoa sababu ambazo hazina mashiko. Kama ningezungumza wapendavyo wangesifia sana na kunipongeza kwa kila aina ya salamu nzuri,lakin kwa kuwa nimezu.gumza kinyume na wapendavyo...
  8. masikinitajiri

    UMAR Ibn Al-Khattab na Paul (SAUL wa Tarso): Mashujaa wa imani mbili Kinzani...

    Et Muhammad hana muujiza, hahaaaaaaa. Huyu kweli mjinga, hajui aliandikalo
  9. masikinitajiri

    UMAR Ibn Al-Khattab na Paul (SAUL wa Tarso): Mashujaa wa imani mbili Kinzani...

    Pole, maana hata utume wake una utata, sijui una mkubali vp?
  10. masikinitajiri

    Askofu Kilaini athibitisha chanzo cha sikukuu ya Christmass ni cha kipagani

    Tunapataje usiku na mchana? Jua lilipatikanaje? Au nano aliye litengeneza? Embu itazame dunia unayoishi, nan aliyeiumba? Vitazame viumbe kutofautiana kwa rangi, kuna nyoka wazuri sana kwa rangi zao, nani aliumba kwa namna hiyo? Utazame mwezi ambao umejaaliwa kuwa nuru ya usiku, mwanga wake hauna...
Back
Top Bottom