hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,115
Inashangazakwanini uislam na ukiristo tu wakati kuna dini nyingi? kwani ni umar na paul wakati kuna wapambanaji wengi tu wa dini zao? mfano Sidharta gautma ambae ndie alikekua muanzilishi wa dini yenye wumini wengi sana huko asia ya kibudha, vipi kuhusu akina krishna na akina mithra? kwanini tujifungie tu ndani ya box la uislam na ukiristo?