Mkuu pole sana,maana nimekisikilza kipindi vizuri, mada ilikuwa:- mambo binafsi kuyaongelea kwa sauti ktk public, mfano mapenzi je uko na mama mzazi au mtoto utajisikiaje kuwa na mtu kwenye hiace anabwabwaja kwa sauti ya juu kuhusu mapenzi,au kaachia kamchina kake volume hadi mwisho,je huu ni...
Ninaangalia citizen tv wanatoa matokeo ya kenya na shule ya kwanza kitaifa ni moi high school, je majina yanapotumika ktk shule kunajitihada za muhusika kuendelea kuona jina lake halitumiwi kwa udhaifu?
Habarini wakuu kama kawaida yangu huajindalia kasherehe ka birthday tarehe 29 feb sasa kwa mwaka huu hakuna tarehe29, ninabakia na umri wangu uleule au?
Njia ni rahisi sana nilishawahi kumfundisha mwanajf alifanikiwa karanga zilizokaangwa zisage ziwe laini changanya na cement kidogo pembeni wawekee maji kazi imeisha hawatapata choo utakuwa umetengenezea tofali tumboni mwao hadi kifo chao
Nimetoka kukinunua nina viwili sasa mwanangu akaniuliza baba:-sasa hicho ni kingamuzi party two?yaani kama picha za nigeria? Nikaachilia kukikonect huyo chumbani
Karanga sisage halafu nyunyizia kidogo kamchuzi ka samaki changanya na cement upate uji mzito pembeni mtengee maji kidogo, hapati haja hadi kifo kutokana na tofali la block ulilolifyatua
Wana jf habarini kwa yeyote aliyemsikiliza mzee wa upako jana msaada kuna jamaa anasisitiza itajwa na majina ya kipagani ni kama n*kia kwa roho safi na si kwa kashfa p!se
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.