Recent content by mashakani

  1. mashakani

    Dar: Maduka ya kubadilishia fedha za kigeni(Forex) jana yalivamiwa Polisi, mengine yafungwa

    Naomba niwashauri ndugu zangu UVCCM mliojazana huku: Matusi na kejeli kwa mleta mada hayatasaidia lolote kuokoa thamani ya shilingi kuporomoka. Mwelezeni ukweli mwenyekiti wenu kuwa nchi inaelekea korongoni.
  2. mashakani

    Meya wa jiji la Tanga ametia aibu ya kuanzia mwaka

    Samahani huyo ni ndugu katika chama, tena tulimnunua kwa dau kubwa hivyo mtatusamehe tu. Maana tukimchukulia hatua tutaonekana tulinunua bidhaa mbovu
  3. mashakani

    Tukimchukia Dudubaya, tuwe na uthubutu pia wa kumchukia Cyprian Musiba

    Alishawahi kusema bungeni kuwa hawezi mchukulia hatua musiba na gazeti lake kwa kuwa hakuna mtu yeyote aliyeenda kake kushtaki kuwa kadhalilishwa. Sasa ajabu ni kuwa lini ruge kafufuka akaenda kushtaki kuwa dudubaya kamdhalilisha?
  4. mashakani

    Meya wa jiji la Tanga ametia aibu ya kuanzia mwaka

    uvccm njooni muteteeni bidhaa yenu mliyonunua toka cuf
  5. mashakani

    Waziri Mwakyembe aiagiza BASATA washirikiane na Jeshi la Polisi kumchukulia hatua Dudubaya

    mWAKYEMBE NAONA UNATAKA KUPITIA NJIA ALIYOPITIA NAPE. nAPE ALITOLEWA KWA KOSA LA KUMTETEA RUGE BAADA YA KUVAMIWA CLOUDS NA BASHITE. sASA NA WEWE UNAMTETEA RUGE BAADA YA KUDHIHAKIWA NA DUDU BAYA AMBAYE ANAFADHILIWA NA BASHITE NA NI KABILA MOJA
  6. mashakani

    TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    ONA CCM WALIVYO MAKINI, WALIANDAA BARUA TOKA MWAKA JANA MWEZI WA PILI. CHADEMA YAO WAMEIANDAA USIKU WA KUAMKIA LEO HIVYO LAZIMA IWE NA UPOPOMA NDANI
  7. mashakani

    TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    WEWE HUJMUELEWA JAMAA, HAPO KAWAPONDA CCM WENZAKE AMBAO WAMETOA BARUA ILIYOANDIKWA MWAKA JANA
  8. mashakani

    Zitto na Lissu kurudi bungeni 2020 ni hasara kwa taifa kuliko faida

    Zuzu ni wewe na hao uvccm wenzako
  9. mashakani

    Vincent Laswai wa Kibo Palace na Trust Bureau de changes yuko matatani?

    Kilichomponza huyu Meku ni picha aliyopiga na Lowasa, membe na kikwete wakinywa mvinyo wakati wa msiba wa baba mkwe wa kikwete (ni mawazo yangu)
  10. mashakani

    Shilingi kushuka thamani na hali mbaya ya uchumi wetu: Sababu ni nini na nini kifanyike?

    Soon utasikia ndugu zake na twaweza wamekuja na utafiti unaonyesha kuwa tanzania inafanya vizuri kwenye uchumi kwa nchi za africa mashariki. Na siku hiyo ya kutoa matokeo lazima iwe laivu tbccm
  11. mashakani

    Mbayuwayu Ameona-1: Kuelekea Uchaguzi Wa S/Mitaa

    Eneo la uchaguzi la tulia ackson, polepole, bashiru ally ni lipi?
  12. mashakani

    Biashara ya vitalu vya uwindaji yadoda

    Vitalu vya uwindaji wa kitalii 71 kati ya 159 vilivyopo nchini vimerudishwa na wawekezaji licha ya kuwa na idadi kubwa ya wanyamapori kutokana na sababu mbalimbali ikiwapo kuyumba kwa biashara ya uwindaji wa kitalii. Akizungumza na Mwananchi jana mjini hapa, kamishna mkuu wa Mamlaka ya...
  13. mashakani

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Brother naomba nikukumbushe kitu muhimu. Umesahau kuweka namba ya simu. Nafasi ya ded itigi bado iko vacant
  14. mashakani

    Zitto na Lissu kurudi bungeni 2020 ni hasara kwa taifa kuliko faida

    Zitto na lissu wamesababisha zao la mbaazi kushuka bei toka 2500 hadi 150 zitto na lissu wamechukua korosha za wakulima wamekaa nazo halafu wanawarudishia wakulima na kusema hazina ubora zitto na lissu wamefukuza wafanyakazi waliokuwa wameishia darasa la saba bila kuwalipa haki zao zitto na...
  15. mashakani

    Mtaalamu ampinga Zitto kuhusu korosho, asema Tumbaku ndio inayoongoza kwa kuliingizia taifa fedha za kigeni

    Mwambieni huyo mtaalamu kuwa korosho zikikosa soko tunaweza kaanga tukale, je tumbaku ikikosa soka watazifanyaje
Back
Top Bottom