Ulitaka avae vazi gani?? Unajua anavyoishi mpaka akapata hilo vazi aliyovaa. Nyodo gani alionyesha?? Kwani kuongea na meya lazima usimame ebu acha hizo. Kila mtu yuko huru. Hakuna sheria ya elimu inayosema unapoongea na meya au waziri lazima usimameMeya wa JIJI la Tanga yuko sawa. Kwanza Mwalimu anaonyesha dharau sana. Mtoto mdogo, hakuvaa nguo za maadili ya ualimu, nyondo nyingi. Sio sawa. Alichokisema Mhe. Diwani ni sawa lakni hakuwa na sababu kukisema kwa wakati huu. Angetetea hoja yake tu. Msimtwishe mzigo Mhe. Waziri wa Elimu, pambaneni na hali zenu.