mtoa mada hiyo hela inazunguka humo humo "multiplier effect" kumbuka wapishi wa futari wanunuzi wa vitu mbali mbali watapata faida kupitia hiyo event,maisha hayaitaji kujibana saaaan....kikubwa tutenge vitu katika hatua tatu tu then tutaenjoy maisha
1.Vitu vya lazima mf. kula,kulala,kuvaa...
Inaaminika duniani kote vijana ndiyo nguvu ya kupeleka gurudumu la maendeleo mbele kwa nchi husika. Ila kwa serikali yetu imekua tofauti sana, hakuna maneno ya faraja na kutiana moyo kila leo ni kukatishana tamaa.
Mwendazake,aliwahi sema katika moja ya kauli zake kwamba vijana hasa waliozaliwa...
Anayeshangaaa atakua ana matatizo au ni ile hali ya kuona MPINZANI ni adui au kila anayekosa baya la ccm basi ni mpinzani.kiukweli mama ameanza vizuri...katika maisha kila mtu anapenda UTU wake uthaminiwa kwa rais aliyepita yy aliamini kwenye VITU zaidi na siyo ,Utu sasa mama Samia amekuja...
CAG hasemi madudu yaliyopita bali huo ni utaratibu uliopo katika kuipa dira nchi na muelekeo ulio sahihi,CAG ni sawa na kioo kinachomulika uchafu ivyo kusema ivyo ni lazima ili kujua tupo wapi kama nchi na wapi tunaelekea.
Kuhusu kwa nn RAIS hakushauriwa ,ww mwenyewe unajua RAIS alikua mtu wa...
hivi kuna sababu gani kupotosha alichoongea bi mkubwa au ndiyo nyie mliotumwa na wafia MWENDAZAKE....MAGUFULI ameshafariki harudi tena na kilichotokea ni natural death kwann tusikubali tu na kumuunga mkono bi mkbwa,huyo Magu amekosea mangapi jamani,mbona mengi tu??
Nawasalimu kwa jina la JAMHURI
Ndugu zangu hili la kutafsiri kauli ya RAIS juu ya kufungulia vyombo vya habari baadhi na kuacha vingine linaleta DOUBLE STANDARD isiyo ya lazima.
Najiuliza shida ni nn? mbona aliongea vizuri nn kimebadilika? nani anataka kuhujumu dhamira njema ya Mh. RAIS...
Anachofanya rais ni kurudisha biashara kwanza,mambo ya kibabe kubambikiana kesi, kudhurumiana,siyo msingi wa knachotakiwa RAIS ataweza mbona JK,MWINYI,KIKWETE na MAGU waliweza tusiweke hofu isiyo na msingi ninaaamini kila kitu kitakua sawa ....kama sijui wala rushwa hata MAGUFULI wenyewe...
ndiyo.maaana.mmeambiwa.mmeshinda kwa.haki ongozeni sasa tuone maendeleo,CCM si.inakubalika.sana na WAPINZANI wanachelewesha maendeleo,sasa kuna haja gani ya kuwaambia watu wakafungue KESI,je wakishinda si wataenda bungeni kupinga.maendeleo.
Sent from my SM-A9000 using JamiiForums mobile app
neno mabwana zao.unalotumia linakutoa kwenye HOJA husika....kwa nn waitwe mabwana? je na wakitoa msaada kwa magufuli nao watabakia.na.jina hilohilo au wataitwa wadau wa maendeleo? kimsingi LISSU ana hoja ya msingi....na yupo sahihi kutafuta msaada nje kadri atavyoona inafaaa maaana hamna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.