Hii nimeipenda sana 😃..kama yule mwingine alifungulia walawiti watoto, kuna shida gani utawala huu ukifungulia magazeti?
AsanteeeeUFAFANUZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Televisheni za Mtandaoni (Online TV) tu ndio zifunguliwe na SIO vyombo vya habari vingine yakiwemo magazeti vilivyofungiwa kwa mujibu wa Sheria.
Gerson Msigwa
Msemaji Mkuu wa Serikali
Leo aliyekuwa Rais wako unamwita fedhuli?.Kinachofuata ni kutoa haya masalia yote ya fedhuli magufuli nje! Mama Samia atimue wote hawa
Mwacheni mama afanye kazi yake kwa spidi anayoona ina mfaa!!! Haraka haraka haina baraka.Kinachofuata ni kutoa haya masalia yote ya fedhuli magufuli nje! Mama Samia atimue wote hawa.
Kweli mataga mna nguvu.Wanachadema muwe na subiraView attachment 1745978
mataga nenda kajiue umkumbatie Jiwe huko aliko, maana naona mahaba yamezidi.
Ufafanuzi unaotelewa na msemaji wa serikali hauwezi kuwa wake lazima atakua amewasiliana na mtoa kauli ilikujiridhisha.
Sasa mkimlaumu mtoa taarifa mtakua mnalaumu asiehusika kabisa yeye ni mjumbe tu sio muamuzi.
Vyama vya siasa jIkiteni kwenye kudai katiba mpya mintarafu tume huru ya uchaguzi lasihivyo baada ya uchaguzi 2025 tutasikia malalamiko yaleyale wakati sasa mmejikita kwenye kusifia na kuzungumza hoja zisizo na msingi.
Madam President Samia,mbona watu wako hawaelewi wanachokisema.Ulizungumza kwa kiswahili fasaha na sanifu kuwa vyombo vya habari vilivyofungiwa ,vifunguliwe ili mradi tu wafuate sheria...
Mtahama nyie msio tahiriwa. Mijitu mizima mna magovi ya mwilini na akiliniHama nchi
Hii si awamu ya MATAGA, hii ni awamu ya MATHA ( Make Tanzania Happy Again)Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.
Kazi ya kumsifia rais Samia ni ya MATAGA siyo ya chadema
Tutulie waziri kawaita wamiliki wa magazeti yaliyofungiwaBaada ya tamko la katibu mkuu wizara ya habari maelezo furaha za watanzania zimezimika ghafula kama mshumaa
Watanzani kimya!! kama vile wamemwagiwa maji baridi hawaamini kilichotokea mpaka sasa hivi...
Kwa hiyo Wahaya na Wanyakyusa pia Wajaluo wahame Nchi acha uzwazwa kila jamii ina mila na destuli zake acha kutulazimisha kufuata mila na destuli za kabila lako kupanga ni kuchagua bwasheeeee!!!!!Mtahama nyie msio tahiriwa. Mijitu mizima mna magovi ya mwilini na akilini
Aaha acha tu mkuu.. Haya nayo ni masiharaa kaziniRikiboy mambo yako ni kula tunda kumasihara huku wapi tena (jokes),
Abbas kakosea sana yaa kiufupi ameanza kupandisha mabega juu wakati huu si muda wa hayo mambo, pia watu waache kupalilia moto maana Mh Rais anaona na kusikia, hizi tabia za watz kuchongea watu ili wakose ajira hazina afya kabisa, wengi wanataka Abbas aondolewe sasa sijui akitoka wanafaidika na nini, kwanza yale si majukumu yake bali ni Msigwa