Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 2,699
- 3,088
Mimi binafsi huwa siwaelewi CHADEMA wanapo lalamika kuhusu upigaji kura na matokeo ya uchaguzi mkuu 2020.
Wao huwa na malalamiko mengi na kudai wana ushahidi lakini cha kushangaza wao ushahidi walionao ni wa kura za Lissu tu ila kuhusu wabunge wao na madiwani wao hawana ushahidi kama waliibiwa kura.
Msitufanye sisi ni mambumbu kama nyinyi kama kweli Lissu angekuwa ameibiwa kura za uraisi basi CHADEMA ingekuwa na wabunge na madiwani wengi kuliko CCM.
Sasa kama wabunge na madiwani wenu wamekubali kuwa wameshindwa kihalali sasa hizo kura za uraisi Lissu atazipata wapi.
Na kama wabunge wenu na madiwani wameibiwa kura na nyinyi wanachama wa CHADEMA mnajua na mnao ushahidi basi wapeni huo ushahidi ili waende mahakamani kupinga matokeo.
Wao huwa na malalamiko mengi na kudai wana ushahidi lakini cha kushangaza wao ushahidi walionao ni wa kura za Lissu tu ila kuhusu wabunge wao na madiwani wao hawana ushahidi kama waliibiwa kura.
Msitufanye sisi ni mambumbu kama nyinyi kama kweli Lissu angekuwa ameibiwa kura za uraisi basi CHADEMA ingekuwa na wabunge na madiwani wengi kuliko CCM.
Sasa kama wabunge na madiwani wenu wamekubali kuwa wameshindwa kihalali sasa hizo kura za uraisi Lissu atazipata wapi.
Na kama wabunge wenu na madiwani wameibiwa kura na nyinyi wanachama wa CHADEMA mnajua na mnao ushahidi basi wapeni huo ushahidi ili waende mahakamani kupinga matokeo.